Hivi Wakenya wanavyopigania haki, kama watanzania tungekuwa wao, huu ubabaishaji, uchawa, ukatili, na ukale vingeendelea kama ilivyo?

Hivi Wakenya wanavyopigania haki, kama watanzania tungekuwa wao, huu ubabaishaji, uchawa, ukatili, na ukale vingeendelea kama ilivyo?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa kujipendekeza. Siyo watu wa kusifia na kutukuza ukumbaff na uoza. Watanzania tujifunze kuwa wakweli kwa nafsi zetu. Tujifunze kuwa realistic. Tujifunze kujiheshimu ili tusiitwe majina machafu kama vile chawa. Tujifunzu kujiamini na kujithamini ili tuaminiwe na kuthaminiwa.
 
Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa kujipendekeza. Siyo watu wa kusifia na kutukuza ukumbaff na uoza. Watanzania tujifunze kuwa wakweli kwa nafsi zetu. Tujifunze kuwa realistic. Tujifunze kujiheshimu ili tusiitwe majina machafu kama vile chawa. Tujifunzu kujiamini na kujithamini ili tuaminiwe na kuthaminiwa.
mi nadhani wanalazisha kuumizwa na kupoteza maisha tu,

haki ni muhimu ikatafutwa kwa utatatubu usio na madhara wala athari yoyote kwa yeyote.

Nadhani,
kuna shida ya afya ya akili pia, kwamba waKenya wanafanya mambo yanayowathiri na kuwaumiza wao wenyewe.

Kumbuka,
tatizo la Afya ya akili ni pamoja na kuwaza, kuamua na kutenda mambo ambayo yanakuathiri na kukuumiza wewe mwenyewe, kama afanyavyo kichaa.

Tangu nyakati za Gen z,
kwani serikali imeumia au imekufa? Ila ameumia na kupoteza maisha nani?

Haki iambatane na wajibu wa kulinda na kupenda uhai na maisha yako na sio kudeka kwa kisingizio cha kutetea haki. Utapoteza maisha, utazikwa na utasahaulika kizembe kabisa 🐒
 
Hawa jamaa ni wakorofi sana,wameamua kupambana na ruto kivingine
FB_IMG_1735568425708.jpg
FB_IMG_1735568432964.jpg
FB_IMG_1735568415384.jpg
 
mi nadhani wanalazisha kuumizwa na kupoteza maisha tu,

haki ni muhimu ikatafutwa kwa utatatubu usio na madhara wala athari yoyote kwa yeyote.

Nadhani,
kuna shida ya afya ya akili pia, kwamba waKenya wanafanya mambo yanayowathiri na kuwaumiza wao wenyewe.

Kumbuka,
tatizo la Afya ya akili ni pamoja na kuwaza, kuamua na kutenda mambo ambayo yanakuathiri na kukuumiza wewe mwenyewe, kama afanyavyo kichaa.

Tangu nyakati za Gen z,
kwani serikali imeumia au imekufa? Ila ameumia na kupoteza maisha nani?

Haki iambatane na wajibu wa kulinda na kupenda uhai na maisha yako na sio kudeka kwa kisingizio cha kutetea haki. Utapoteza maisha, utazikwa na utasahaulika kizembe kabisa 🐒
Wangekuwa na matatizo ya akili sidhani kama uchumi wao ungekuwa juu ya wetu by any means.
Wakenya ni fearless, its what happens jamii inapokuwa so educated na ikajitambua, ni vigumu wana siasa kujipenyeza au kupata chawa kwenye jamii hiyo

I dont say wako perfect but atleast wana udhubutu, wanajua haki zao ni zipi
 
TUKIFANYA YA WAKENYA AIDHA KUIGA TUTAUZOROTESHA UCHUMI WETU, AMBAO NI DUNI SANA, SASA SIJUI INGEKUWAJE?, MUNGU ATUEPUSHIE MAUJINGA YA KENYA!
 
TUKIFANYA YA WAKENYA AIDHA KUIGA TUTAUZOROTESHA UCHUMI WETU, AMBAO NI DUNI SANA, SASA SIJUI INGEKUWAJE?, MUNGU ATUEPUSHIE MAUJINGA YA KENYA!
Ushauri wako ni wa hovyo kuliko niliowahi kuupokea kwenye post yangu mwanangu. Ni chawa na chizi pekee anaweza kuwa na mawazo mgando kama yako. Hata hivyo, una haki ya kusema utakacho. Asante
 
Wangekuwa na matatizo ya akili sidhani kama uchumi wao ungekuwa juu ya wetu by any means.
Wakenya ni fearless, its what happens jamii inapokuwa so educated na ikajitambua, ni vigumu wana siasa kujipenyeza au kupata chawa kwenye jamii hiyo

I dont say wako perfect but atleast wana udhubutu, wanajua haki zao ni zipi
sasa fearless halafu unakufa kizembe, kweli?🤣

sasa una tofauti gani na nyumbu 🤣

nani kasema uchumi wa Kenya uko juu?
watu wanaandama kwende kudai unga na sufuria kichwani unasema uchumi wao uko juu? Labda juu ya mawe 🤣

Wana elimu gani sasa kama wanalia ugumu wa maisha badala elimu waliyonayo iwasaidie kujikwamua kwenye mahitaji yao?

Rais wao ni mjanja na ndie mwenye akili zaidi, anashusha bei ya mbolea ili ukalime upate chakula,


waandamanaji wengi Kenya ni wavivu wasiotaka kufanya kazi za shamba, ndio hao wanaumizwa na kupoteza maisha kizembe kabisa wakiwa na nguvu zao na hakuna kinacho fanyika.

My friends ladies and gentlemen,
work hard tiredlessly, huwez kubabaika na mihemko ya kinyumbu wala maandamano yasiyo na maana ukiwa vizuri kiuchmi 🐒
 
Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa kujipendekeza. Siyo watu wa kusifia na kutukuza ukumbaff na uoza. Watanzania tujifunze kuwa wakweli kwa nafsi zetu. Tujifunze kuwa realistic. Tujifunze kujiheshimu ili tusiitwe majina machafu kama vile chawa. Tujifunzu kujiamini na kujithamini ili tuaminiwe na kuthaminiwa.
Ni ujinga kuamini wewe ni dhaifu kuliko jirani yako.
 
Back
Top Bottom