Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
mi nadhani wanalazisha kuumizwa na kupoteza maisha tu,Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa kujipendekeza. Siyo watu wa kusifia na kutukuza ukumbaff na uoza. Watanzania tujifunze kuwa wakweli kwa nafsi zetu. Tujifunze kuwa realistic. Tujifunze kujiheshimu ili tusiitwe majina machafu kama vile chawa. Tujifunzu kujiamini na kujithamini ili tuaminiwe na kuthaminiwa.
Wangekuwa na matatizo ya akili sidhani kama uchumi wao ungekuwa juu ya wetu by any means.mi nadhani wanalazisha kuumizwa na kupoteza maisha tu,
haki ni muhimu ikatafutwa kwa utatatubu usio na madhara wala athari yoyote kwa yeyote.
Nadhani,
kuna shida ya afya ya akili pia, kwamba waKenya wanafanya mambo yanayowathiri na kuwaumiza wao wenyewe.
Kumbuka,
tatizo la Afya ya akili ni pamoja na kuwaza, kuamua na kutenda mambo ambayo yanakuathiri na kukuumiza wewe mwenyewe, kama afanyavyo kichaa.
Tangu nyakati za Gen z,
kwani serikali imeumia au imekufa? Ila ameumia na kupoteza maisha nani?
Haki iambatane na wajibu wa kulinda na kupenda uhai na maisha yako na sio kudeka kwa kisingizio cha kutetea haki. Utapoteza maisha, utazikwa na utasahaulika kizembe kabisa 🐒
Ushauri wako ni wa hovyo kuliko niliowahi kuupokea kwenye post yangu mwanangu. Ni chawa na chizi pekee anaweza kuwa na mawazo mgando kama yako. Hata hivyo, una haki ya kusema utakacho. AsanteTUKIFANYA YA WAKENYA AIDHA KUIGA TUTAUZOROTESHA UCHUMI WETU, AMBAO NI DUNI SANA, SASA SIJUI INGEKUWAJE?, MUNGU ATUEPUSHIE MAUJINGA YA KENYA!
Ushauri makini unaita wa hovyo!, #Twendeni kwenye ajira kibaha viwandani!Ushauri wako ni wa hovyo kuliko niliowahi kuupokea kwenye post yangu mwanangu. Ni chawa na chizi pekee anaweza kuwa na mawazo mgando kama yako. Hata hivyo, una haki ya kusema utakacho. Asante
sasa fearless halafu unakufa kizembe, kweli?🤣Wangekuwa na matatizo ya akili sidhani kama uchumi wao ungekuwa juu ya wetu by any means.
Wakenya ni fearless, its what happens jamii inapokuwa so educated na ikajitambua, ni vigumu wana siasa kujipenyeza au kupata chawa kwenye jamii hiyo
I dont say wako perfect but atleast wana udhubutu, wanajua haki zao ni zipi
Ni ujinga kuamini wewe ni dhaifu kuliko jirani yako.Wakenya walio wengi kuna kitu wanatuzidi. Si wanafiki wala woga linapokuja suala la kupigania haki zao. Wala si woga wala wenye sura mbili. Wanajua wanachofanya. Siyo wala makombo au watu wa kujipendekeza. Siyo watu wa kusifia na kutukuza ukumbaff na uoza. Watanzania tujifunze kuwa wakweli kwa nafsi zetu. Tujifunze kuwa realistic. Tujifunze kujiheshimu ili tusiitwe majina machafu kama vile chawa. Tujifunzu kujiamini na kujithamini ili tuaminiwe na kuthaminiwa.
Pia, ni ujinga kujiona bora hata kama una udhaifu. Ni binadamu mkamlifu asiye dhaifu mwanagu. Sometimes, understanding your weakness is a good sign of strength. So, you know.Ni ujinga kuamini wewe ni dhaifu kuliko jirani yako.