Hivi wakihubiri kwa kuchanganya Kiswahili na Kingereza ndio neno linaingia zaidi?

Wanafabnya hivyo kuwavuruga akili
 
Humu mtandaoni mtu asipoandika neno la kiingereza, utasikia fulani kaishia la ngapi aisee.
Jieleze kadri uwezavyo, usiogope kashfa za watu.

Kisa hujui kiingereza ndo huna haki ya kujieleza?

Na ukiona mtu anakushambulia, ujue hana hoja.

"Where we dare to talk openly."
 
Nilimkuta muuza dawa za asili mahali akiitambulisha dawa inaitwa "besila lagos small snake kutoka canada" baada ya kusema hivyo watu waliipapatikia mpaka ikaisha
 
Kiingereza kinahamashisha Shekhe na Sadaka zinatoka.
Wewe jaribu hata kupata dem anaye gugumia kwa kiingereza kitandani kitandani utaona hamasa yake😂😂.
Kamuulize🗝️
 
Jieleze kadri uwezavyo, usiogope kashfa za watu.

Kisa hujui kiingereza ndo huna haki ya kujieleza?

Na ukiona mtu anakushambulia, ujue hana hoja.

"Where we dare to talk openly."
Hapa jf hata Kama ukiandika uzi wa kiingereza huwezi kupata wachangiaji wengi.

Unakuta uzi umeandikwa kizungu ila mtu anarusha comment ya kiswahili

Au nimeandika uongo?

Tatizo humu kuna watu tu wa ajabu ajabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…