Hivi wakinadada hii ni kama asili yenu?

Hivi kuna wanawake wanaomba vocha hadi leo??

Hahahaa, hilo na mimi nimeshangaa ndugu yangu, hapa ndiyo nimepata picha kumbe hapa jf asilimia kubwa tuko na visichana siyo wanawake...VOCHA?!!! duh!
 
kaka ww noma ata mpenzi wako anakuomba vocha mpaka usaidiwe kwa ushaur.je angekuwa mke wako anakuomba ni mpaka upate ushauri nje?ebu acha kutuzalilisha wanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…