sawa kaka muhongaji......
Hivi kuna wanawake wanaomba vocha hadi leo??
Nisamehe usinisemelee nitakupa pipi
Mmmm!!!!!!!
Najua mnapenda kuhongwa lakini siyo kila mwanaume anaweza kuhonga, umepewa bure toa bure
Duuhnakushauri achana na mambo ya wanawake...jaribu wanaume wao hawatakuomba vocha