MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Nilikuwa sina internet kwa muda mrefu, naomba kujuzwa kuhusu hawa vijana waliopotea mwanzo wa mwaka huu kama walipatikana?
Pia, soma;
www.jamiiforums.com
Pia, soma;
DAR: Vijana watano wamepotea katika mazingira ya kutatanisha
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema limepokea taarifa za vijana watano wanaodaiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha tangu mwisho wa mwaka 2021. Kamanda Jumanne Muliro amesema wamezipokea na wanazifanyia kazi kuweza kufahamu usahihi wake. ==== Dar es Salaam. Fears have...