Kwenye maisha yetu ya kila siku na JAMII inayotuzunguka Kuna watu hutokea kuwa WATUNDU Sana....
Mpaka wengine kupewa jina la "TOTO TUNDU"
Ivi watu wa Aina hii WAKIZISHIKA pesa a.k a mapene au chapaa za maana katika maisha yao huwa hawaishiwi vituko na vioja
Embu tupeane vimbwanga vyao.....