Hivi wale wanandoa wanaokuja kanisani wamelewa na wanafungishwa ndoa wanakuwa wamehonga ama....

Hivi wale wanandoa wanaokuja kanisani wamelewa na wanafungishwa ndoa wanakuwa wamehonga ama....

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Hapo nyuma walianza kukomaa ooh hatufungishi ndoa zenye mimba

Walipooona idadi ya kubariki ndoa ni wengi wakaona wawafungishe tu hivyo hivyo

Hivi majuzi nimetoka kanisa moja Moshi kwenye harusi

Bwana harusi ananesa kabisa

Kila mtu akaanza kuhoji kanisa litafungisha hii ndoa ama lah

Kweli jamaa akasaidiwa sana na bestman wake akafanikiwa kuyamaliza ya kanisa

Ajabu katika mahubiri mch akasisitiza kuishi maisha ya upendo

Badaae akaanza kukemea ulevi na kuanza kusema madhara ya ulevi kwenye ndoa na jinsi watoto wanavyoteseka

Alivyotaja ulevi nikasema mmama mzazi analipua bahati akawa na hekima

Jamaa hadi ngazi anasapotiwa ilikuwa shida

Nikasema makanisa kwenye mimba tumedhiria basi na hili la walevi kuja kuoana wamelewa mkijichanganya

Kila mtu atakuja yukoo bwiii na kuondoa maana ya heshima ya kanisa tena......

Kikubwa na kibaya baba mzazi alikuwa boss mmoja ktk hayo makanisa sasa sijui mch aliona haya kidogo kwa heshima ya xboss wake

Anyway

Ijumaa kareem
 
HAPO NYUMA WALIANZA KUKOMAA OOH HATUFUNGISHI NDOA ZENYE MIMBA

WALIPOOONA IDADI YA KUBARIKI NDOA N WENGI WAKAONA WAWAFUNGISHE TU HIVYO HIVYO


HIVI MAJUZI NIMETOKA KANISA MOJA MOSHI KWENYE HARUSI

BWANA HARUSI ANANESA KABISA

KILA MTU AKANZA KUHOJI KANISA LITAFUNGISHA HII NDOA AMA LAH

KWELI JAMAA AKASAIDIWA SANA NA BESTMAN WAKE AKAFANIKIWA KUYAMALIZA YA KANISA

AJABU KTK MAHUBIRI MCH AKASISITIZA KUISHI MAISHA YA UPENDO

BADAAE AKAANZA KUKEMEA ULEVI NANKUANZA KUSEMA MADHARA YA ULEVI KWENYE NDOA NA JINSI WATOTOO WANAVYOTESEKA

ALIVYOTAJA ULEVI NKASEMA MMAMA MZAZI ANALIPUA BAHATI AKAWA NA HEKIMA

JAMAA HADI NGAZI ANASAPOTIWA ILIKUWA SHIDA


NKASEMA MAKANISA KWENYE MIMBA TUMEDHIRIA BASI NA HILI LA WALEVI KUJA KUOANA WAMELEWA MKIJICHANGANYA


KILA MTU ATAKUJA YUKOO BWIII NA KUONDOA MAANA YA HESHIMA YA KANISA TENA......

KIKUBWA NA KIBAYA BABA MZAZI ALIKUWA BOSS MMOJA KTK HAYO MAKANISA SASA SIJUI MCH ALIONA HAYA KIDOGO KWA HESHIMA YA XBOSS WAKE

ANYWAY

IJUMAA KAREEM
Unataka kumanisha walevu wanaruhusiwa kufundisha ndoa wakati wamelewa?........kama ni pesa hapo wamezidi aisee
 
Unataka kumanisha walevu wanaruhusiwa kufundisha ndoa wakati wamelewa?........kama ni pesa hapo wamezidi aisee
MKUUUU SHEMEJI YANGU KAJA SHWI....ANASHUKAA KILA MTU MACHO YANAMTOKA AKAENDA CHUMBAN HUKO TUKANZA KUSALI NA KUNENA KWA LUGHA MCH ASITOE MAAMUZI MAGUMU

KWELI GAFLA JAMAA ANATOKA NA MKEWE ANAINGIA KANISAN...BAHATI MCH ALISHAMWONA KACHKKA HATA MAHUBIRI AYAKUWA MAREFU NAONA AKAONA ISIWE TAABU NIWAAONDOE WAKAFIE MBALI HUKO TUKASHUKURU MUNGU

TUKIWAZA HUYU DADAYETU TUNAMPELEKA WAPI MCH AKIGOMA KUFUNGISHA HARUSI

NA HIO SIO SHIDA SHIDA ZILEE POMBEEE KWA UKUMBI AISEE TULIWAZA TUNAANZAJE KUGAWANA NDUGUU
 
MAKANISA WAKIANZA KUPIMA NA KILE KIPIMO CHETU KILA MWANANDOA NDUGU WATAAISHIAA KUONGEZQ WAZINZI NA MASINGLE TU

WANANDOA WENGI SEMA TU WETU ALIPITILIZA KIDOGO ILA WANAINGIA KANSAN WANAJIELEWA WAMESHASHTUA...VYOMBOO
 
Hapo nyuma walianza kukomaa ooh hatufungishi ndoa zenye mimba

Walipooona idadi ya kubariki ndoa ni wengi wakaona wawafungishe tu hivyo hivyo

Hivi majuzi nimetoka kanisa moja Moshi kwenye harusi

Bwana harusi ananesa kabisa

Kila mtu akaanza kuhoji kanisa litafungisha hii ndoa ama lah

Kweli jamaa akasaidiwa sana na bestman wake akafanikiwa kuyamaliza ya kanisa

Ajabu katika mahubiri mch akasisitiza kuishi maisha ya upendo

Badaae akaanza kukemea ulevi na kuanza kusema madhara ya ulevi kwenye ndoa na jinsi watoto wanavyoteseka

Alivyotaja ulevi nikasema mmama mzazi analipua bahati akawa na hekima

Jamaa hadi ngazi anasapotiwa ilikuwa shida

Nikasema makanisa kwenye mimba tumedhiria basi na hili la walevi kuja kuoana wamelewa mkijichanganya

Kila mtu atakuja yukoo bwiii na kuondoa maana ya heshima ya kanisa tena......

Kikubwa na kibaya baba mzazi alikuwa boss mmoja ktk hayo makanisa sasa sijui mch aliona haya kidogo kwa heshima ya xboss wake

Anyway

Ijumaa kareem
GXSjdPnWUAAzb2j.jpg

Mafwele is now following you....
Mafwele is now typing...
 
HAHAHAAA KUNA MSANIII ALIKUJA KANISA MOJA MBEZI SNEACH ALIKUJA SIKU YA HARUSI NA MAZIWA NJENJE NDUGU

PAST MMOJA AKAWAMBIA WAINGIE TU BAHATI WAMAMA WALIOKUWEPO WAKAMFWATA WAKAMWAMBIA BABA MCH HUYOO MIMBA UJUE KUNA MA TV KAMA YOTE HAPA ATAKUTIA MIMBA

AKAMBIWA AKALETE KITAMBAA CHA KUJISITIRI GAFLAA NIKIWA KARIBU DADA MTU AKAMWITA DREVA NENDA HME PALE KWENYE PAZIA LETA KILE KITAMBAA CHA NDAB HARAKA

WAKAKILETA WAKAKIKATA AKAVALISHWA NDIO AKAFUNGISHWA NDOAA

HAHAHAAAA SASA HUKO RECEPTION NGUO ALIZOINGIA NAZO HAPO MLIMANI CITY

NIKO PALEE KWA WAKALA NTARUDI BADAEE BALAAA MAMA WAKWE WOTE MACHO YANAWATOKA MTOTO PAJAPAJA KOTA SI KOTA YAAN ...

WACH WANAPITIA MENGI SANA KIUJUMLA
 
HAHAHAAA KUNA MSANIII ALIKUJA KANISA MOJA MBEZI SNEACH ALIKUJA SIKU YA HARUSI NA MAZIWA NJENJE NDUGU

PAST MMOJA AKAWAMBIA WAINGIE TU BAHATI WAMAMA WALIOKUWEPO WAKAMFWATA WAKAMWAMBIA BABA MCH HUYOO MIMBA UJUE KUNA MA TV KAMA YOTE HAPA ATAKUTIA MIMBA

AKAMBIWA AKALETE KITAMBAA CHA KUJISITIRI GAFLAA NIKIWA KARIBU DADA MTU AKAMWITA DREVA NENDA HME PALE KWENYE PAZIA LETA KILE KITAMBAA CHA NDAB HARAKA

WAKAKILETA WAKAKIKATA AKAVALISHWA NDIO AKAFUNGISHWA NDOAA

HAHAHAAAA SASA HUKO RECEPTION NGUO ALIZOINGIA NAZO HAPO MLIMANI CITY

NIKO PALEE KWA WAKALA NTARUDI BADAEE BALAAA MAMA WAKWE WOTE MACHO YANAWATOKA MTOTO PAJAPAJA KOTA SI KOTA YAAN ...

WACH WANAPITIA MENGI SANA KIUJUMLA
Kama huyu tuliwaza kapewa mzigoo nn mbona hata hakemei maumbile kwenye mahubiri kujisitiri n shida sana na wao wana kooo wanahamu kama....
 
Unaoa moyo, hayo mengine ni mbwembwe tu ambazo hazina maana na hazijawahi kuwa msaada wowote kwenye ndoa.

Ningependekeza tuachane na habari za viapo makanisani na vyeti vya ndoa ila tuwe na mikataba ya ndoa.
 
Wanalewa kuondoa aibu.. Mie nilivuta bangi siku ya ndoa yangu.. 😁😁😁
Mpwaaa wengi sio wewe sema huyu wa kwetuu nahisi akuwa mshauri maana hata bestman nae alikuwa anaomba mbingu zishuke ndoa iishe mapema macho kama kala ndumwi
 
Unaoa moyo, hayo mengine ni mbwembwe tu ambazo hazina maana na hazijawahi kuwa msaada wowote kwenye ndoa.

Ningependekeza tuachane na habari za viapo makanisani na vyeti vya ndoa ila tuwe na mikataba ya ndoa.
💯

Msajili atakuwa amesikia kilio chhetu
 
M niliambiwa piga konyagi mmmh nkaona kabia kawili kanantosha nkatoka rosegarden natafuna ndizi kama mbuzi kila nikipumua nahisi safari bado ipo loh

Kufika kanisan mke mtarajiwa ajatokea hee nangalia mda kumpigia apokei simu nkakausha kwa gari jamaa akaniambia ndugu mke kala kona nn aisee azania palikuwa kwa mkapa siku ile..bestman alikuwa na konya..ndogo nkasukutua kdogo ndan


Gafla ndio naona anashuka....nkasema mambo ya Milla.. TV...Gal TV.. kuhojiwa hayooo...

Ila sikuyumbaa loh....tena past alinishtukia akawa akiniangalia anacheka na mm nacheka kama vile tunapongezana hahahaaaaa

Ndoa zina mengi saba

Ma past wanaavumilia sanaa.....hata siku tunaenda kwa past kumwambia yametushinda sisi akacheka sana hahaha akanza mambo ya mahubiri njoon sikuflan njoon sikuflan mmh nkapewa info nkaingia shortcut baraza tukamalizana
 
Nandy aliingia kanisani kufungishwa ndoa na Nenga akiwa mjamzito. Huo ni mfano mmoja ila wengi wapo tu wa aiana hiyo

Wengine wameshaishi pamoja wamefanya uasherati na kuzaa kabisa watoto wanaenda kufunga ndoa. Wakatoliki wanasema eti kubariki ndoa. Tuwe serious huko ni kubariki ndoa au kubariki uasherati?

Dini ni biashara mkuu kama biashara zingine wanazingatia maokoto
 
WACH WANAPITIA MENGI SANA KIUJUMLA
Wewe Ndo unayepitia mengi,sio mchungaji.
Sira 31:31

Usimkaripie jirani yako kwenye pombe, wala usimdharau anapofurahia karamu. Usimwambie neno la kumwonya, wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni.


BHND: Biblia Habari Njem
 
Wewe Ndo unayepitia mengi,sio mchungaji.
Sira 31:31

Usimkaripie jirani yako kwenye pombe, wala usimdharau anapofurahia karamu. Usimwambie neno la kumwonya, wala usimsumbue kwa kumtaka alipe deni.


BHND: Biblia Habari Njem
Duh si mchezo
 
Sira n nani huyu mkuuu kabda sijaelewa
 
Nandy aliingia kanisani kufungishwa ndoa na Nenga akiwa mjamzito. Huo ni mfano mmoja ila wengi wapo tu wa aiana hiyo

Wengine wameshaishi pamoja wamefanya uasherati na kuzaa kabisa watoto wanaenda kufunga ndoa. Wakatoliki wanasema eti kubariki ndoa. Tuwe serious huko ni kubariki ndoa au kubariki uasherati?

Dini ni biashara mkuu kama biashara zingine wanazingatia maokoto
Usimwambiemtu...somapolepole
ndie alkuja na nguo ya balaa kanisan wakamrudisha. Njiwaa njenjnje
 
sikuhioo ilikuwa hatareenanusuu
 
M niliambiwa piga konyagi mmmh nkaona kabia kawili kanantosha nkatoka rosegarden natafuna ndizi kama mbuzi kila nikipumua nahisi safari bado ipo loh

Kufika kanisan mke mtarajiwa ajatokea hee nangalia mda kumpigia apokei simu nkakausha kwa gari jamaa akaniambia ndugu mke kala kona nn aisee azania palikuwa kwa mkapa siku ile..bestman alikuwa na konya..ndogo nkasukutua kdogo ndan


Gafla ndio naona anashuka....nkasema mambo ya Milla.. TV...Gal TV.. kuhojiwa hayooo...

Ila sikuyumbaa loh....tena past alinishtukia akawa akiniangalia anacheka na mm nacheka kama vile tunapongezana hahahaaaaa

Ndoa zina mengi saba

Ma past wanaavumilia sanaa.....hata siku tunaenda kwa past kumwambia yametushinda sisi akacheka sana hahaha akanza mambo ya mahubiri njoon sikuflan njoon sikuflan mmh nkapewa info nkaingia shortcut baraza tukamalizana
Naona bado utakuwa umelewa
 
Back
Top Bottom