Hivi wale WATU wa upinde wa mvua almaarufu rainbow wanaweza kupigana vita jeshini?

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Wanajamiiforum wenzangu naomba kuuliza hivi ile jamii maarufu sikuhizi kwenye mitandao LGBT wanaotumia rangi za upinde wa mvua wanaweza kupigana vita jeshini? Mfano ule mtiti wa idiamini tukiwa na watu kama hawa warfront tunauhakika wa kuibuka washindi.?
 
Kabla haujaenda jeshini lazima upimwe Kama ulishawahi kutolewa Linda.mchicha mwiba hauingii jeshini
 
Watapigana ila wanakua kama Beatrice rafiki ake bacca,kwenye spartacus
 
Kwani lisu dalali wao anasemaje

USSR
 
Kama wanawake wanaweza kupigana vita sembuse hao!! Huko DRC wanaopigana ni watoto under 15 na Bado wanawakalisha majeshi ya serikali, UN na hata ya Tanzania yalipigwa ambush na watoto.

So mambo ya vita ni zaidi ya jinsia na ukomavu wa umri/mwili Bali strategy tu.
 
Wale nadhan hawawezi vita za chumbani tu
 
Kwahiyo kwa akili yako mfano mtu aliyeiva kwenye Boxer au Combat akiwa shoga utaweza kumpiga kisa kawa shoga

Au mtu ambae sasahivi mukipigana anakupiga akiwa shoga unahisi ndio utaweza kumpiga kisa shoga Ni kujiongopea

Fighting iwe vita au normal nikazi ya body muscles, timing na skills havita uhusiano na mtu kuwa shoga Kama wewe sio shoga na shoga kakuzidi weight atakukalisha tu
 
Kwanini munapenda kusambza hii nadharia hili kusema ndugu zetu wafanya mazoezi...hii sio sawa
Ndio maana nimekwambia KUNA, unajua maana ya KUNA? yaani miongoni mwao sio wate
 
Kama wanaweza kucheza mpira watashindwaje kupigana vita jeshini wakati wanaweza kuingia huko na tabia zao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…