samahani, wewe ni mtu wa pwani?Wandugu,nimekuwa nikijiuliza na kushangaa hiki chakula chenye majina mengi kwanini kinapendwa sana na watu karibu wa rika zote?Labda walevi ndio hawakifagilii sana.Nipo ugenini kwa ndugu zangu,huku zao kuu ni mpunga.Ndugu zangu hawa waliniomba nije na unga wa mahindi kwani wanaumiss ugali.Ajabu ni kwamba wiki ya tatu sasa hawajapika ugali labda ni uji tu wa mtoto.
Nauliza tena chakula hiki kina nini cha mno?
ungeuliza mchele una nini cha zaidi........? labda ningekuelewaWandugu,nimekuwa nikijiuliza na kushangaa hiki chakula chenye majina mengi kwanini kinapendwa sana na watu karibu wa rika zote?Labda walevi ndio hawakifagilii sana.Nipo ugenini kwa ndugu zangu,huku zao kuu ni mpunga.Ndugu zangu hawa waliniomba nije na unga wa mahindi kwani wanaumiss ugali.Ajabu ni kwamba wiki ya tatu sasa hawajapika ugali labda ni uji tu wa mtoto.
Nauliza tena chakula hiki kina nini cha mno?
utakua ni mjaluo weweAaah! Hapana chezea ugali wewe!