Tatizo lenu mnapenda kujilinganisha na fani nyingine!
Fani ya elimu kwa Tanzania ni kwa form 6 or form 4 failures bado mnalalamika tu!
Tatizo lenu mnapenda kujilinganisha na fani nyingine!
Fani ya elimu kwa Tanzania ni kwa form 6 or form 4 failures bado mnalalamika tu!
Acha ukilaza nani kakudanganya kuwa walimu wote ni form4 ama 6 failures usiishi kwa kukariri wapo wengine degree holders na masters na bado ni walimu sawa
Kweli mimi nashangazwa na kitendo cha serikali kuto kutenga fungu kwa ajiri ya kuwapa walimu ambao wamethibitika kuwa wamepanga vyumba vya kuishi mtaani. Mwalimu kulipia pango kutoka kwenye mshahara wake sio sawa kwani kuna walimu wanaishi kwenye nyumba za serikali bure. Je hawa watafanana kumudu ukali wa maisha?
Ungepangwaga huk nlipo mim kigoma ungekomaje!
unakarabat nyumba mwenyew unaweka milango,dirisha,floor na plasta then ndio uhamie sasa ndio mwl.mpya mbona utajibeba
Kuna Halmashauri ambazo hata hao wanaoishi nyumba za serikali wanakatwa kodi kwenye mishahara yao,nadhani ni 2% ya mshahara.
Tatizo lenu mnapenda kujilinganisha na fani nyingine!
Fani ya elimu kwa Tanzania ni kwa form 6 or form 4 failures bado mnalalamika tu!
Tatizo lenu mnapenda kujilinganisha na fani nyingine!
Fani ya elimu kwa Tanzania ni kwa form 6 or form 4 failures bado mnalalamika tu!
Tatizo lenu mnapenda kujilinganisha na fani nyingine!
Fani ya elimu kwa Tanzania ni kwa form 6 or form 4 failures bado mnalalamika tu!
Kweli mimi nashangazwa na kitendo cha serikali kuto kutenga fungu kwa ajiri ya kuwapa walimu ambao wamethibitika kuwa wamepanga vyumba vya kuishi mtaani. Mwalimu kulipia pango kutoka kwenye mshahara wake sio sawa kwani kuna walimu wanaishi kwenye nyumba za serikali bure. Je hawa watafanana kumudu ukali wa maisha?
Tatizo lenu mnapenda kujilinganisha na fani nyingine!
Fani ya elimu kwa Tanzania ni kwa form 6 or form 4 failures bado mnalalamika tu!