Hivi Walimu ni mishahara ndio inawapa hasira?

πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
kutumia simu enzi hizi si kitu kibaya lakini hazijaruhusiwa bado,unapolazimisha kutumia kitu bila ruhusa huo Ni utovu wa nidhamu,..so hatua iliyochukuliwa Ni sahihi kabisa
 
Umeambiwa usifanye fujo wewe ukafanya, Utapigwa Tu!

Umeambiwa usije na simu shuleni, wewe ukaja nayo!! Uta................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…