Nenda kasome sheria za shule uone adhabu ya kutumia simu
Nadhani hujasoma boarding ndio maana, Laiti ungeona sehemu wanazochajia (local connections) usingesema,
In case ikija kutokea bweni limeungua na wanafunzi wamekufa ww ndio utakuwa was kwanza kuwalauni walimu walikuwa wazembe hawafuatilii
NB
Ualimu ni kama ukocha tu katika mafanikio watasifiwa wengine kikiharibika kitu lawama kwao