Sawa nikosa! Waonyeni ili wamalizie, kuwafukuza hamuoni ndo mnawaua kabisa?
Kumbukeni hao ni watoto, nashauli shule zingebuni mbinu mbadala hata kuweka didector machine siku wanapo report shuleni.
Nyie waalimu huwa hamjiulizi kwamba kama simu inaingia gerezani sehemu yenye mabunduki na ulinzi mkubwa sembuse na shuleni?
Inamaana na askari magereza wawe wanafukuzwa pale wafungwa wanapokutwa na simu?
Kumbukeni hao niwatoto
Hizo zitakuwa nihasira za kunyimwa michango ya michele🤣🤣🤣☝
Wanazimalizia kwa watoto.