Hakika baadhi ya waalimu ni waoga kupindukia,Mimi nimeshaanza kupambana kimya kimya,nimegoma kufundisha practicals za biology, coz utaalamu wa maabara ni taaluma inayojitegemea na wanapaswa kuajiriwa kwa shughuli za maabara tu,sasa leo wananitaka nifundishe darasani,na practicals niwafundishe kwa mshahara ule ule!!!!hii haikubaliki hata kidogo,waalimu wenzangu popote mlipo,kataeni upuuzi na uonevu wa jinsi hii,kwani tunaonewa na hii serikali kiasi kwamba hata serikali yenyewe inatushangaa na kutudharau kwa ukimya wetu!