Habari wana jamvi.
kuna kipindi najiuliza maswali kama kweli walimu tuna akili ya kutosha.
Hivi inaingia akilini tangu mwaka jana mwezi wa 6, watu wamepanda daraja lakini mpaka sasa hawajabadilishiwa mishahara. Hivi kama ni idara nyingine inawezekana?
Uchaguzi umekaribia, utawaona walimu wanaenda kulala nje kwa kulipwa elfu 80, tu. hebu tudai haki zetu jamani, kwann tusigome ktk mambo kama haya?
Kwann cc waoga kiasi hicho? Mimi naomba niwe wa kwanza kufukuzwa kazi kwa kudai pesa yetu ya madaraja tangu kupandishwa mwaka jana.
kuna kipindi najiuliza maswali kama kweli walimu tuna akili ya kutosha.
Hivi inaingia akilini tangu mwaka jana mwezi wa 6, watu wamepanda daraja lakini mpaka sasa hawajabadilishiwa mishahara. Hivi kama ni idara nyingine inawezekana?
Uchaguzi umekaribia, utawaona walimu wanaenda kulala nje kwa kulipwa elfu 80, tu. hebu tudai haki zetu jamani, kwann tusigome ktk mambo kama haya?
Kwann cc waoga kiasi hicho? Mimi naomba niwe wa kwanza kufukuzwa kazi kwa kudai pesa yetu ya madaraja tangu kupandishwa mwaka jana.