Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
We eleezea unaliona je, ulisha oa au umeolewa, una umri gani ya ndoa? Ndo nichangie kwasbb majibu yanajulikana tu.IF YOU WANT TO SELL YOUR FREEDOM GET MARRIED
Je ni kweli kuna uhuru unapungua ukioa au kuolewa ?
Ni uhuru upi huo ?
Kuna wengine husema "no matter how boring life gets, never get married"
Kuna nini ndani ya ndoa ?
Kuna haja ya somo la umuhimu wa ndoa na familia kufundishwa vyuoni .
Ni mwendo wa kuji drondrakeNdoa ni taasisi ya kinyonyaji kwa ME
Ndoa ni Ajira kwa KE
NDOA NI UTAPELI KWA ME
NDOA INAMFAIDISHA KE NA KUMKANDAMIZA ME
Leo natimiza miaka 7 ya ndoa yanguNdoa ni taasisi ya kinyonyaji kwa ME
Ndoa ni Ajira kwa KE
NDOA NI UTAPELI KWA ME
NDOA INAMFAIDISHA KE NA KUMKANDAMIZA ME
Ni mwendo wa kuji drondrake
Haombi hela ya kusuka wala hanuninuni kila muda
wala hana gubu, ananipa mda wowote ule, nikitaka bao 5 kwa siku ni mie tuHaombi hela ya kusuka wala hanuninuni kila muda
Kiwolper ndio kipi hicho?wala hana gubu, ananipa mda wowote ule, nikitaka bao 5 kwa siku ni mie tu
hakuna kiwolper wala UTI wala gono
wala hana gubu, ananipa mda wowote ule, nikitaka bao 5 kwa siku ni mie tu
hakuna kiwolper wala UTI wala gono
ki tilapiaKiwolper ndio kipi hicho?
hahahaha, NakaziaHuyo bebikea ukimuacha kwenye kona unamkuta pale pale ulipomuacha, hajui gari wala kitambaa cheupe.
mafuta ya kazi hayaView attachment 3067527
Miki wangu huyu, nikimuona tu mashine inasimama
Ni wewe na bao zako tumafuta ya kazi haya