Hivi walokole mna shida gani?

Hivi walokole mna shida gani?

Kama ni mwanamke bc anakupenda, kama ni mwanaume bc kuna shimo mwilini mwake haliko sawa
 
Walokole halisi wapo gaza wanarusha makombora ,
Israel sio walokole! Ni taifa Mungu aliingia agano nao kupitia mababu zao Ibrahim, isaaka, na yakobo(israel). Kupitia hao Yesu kazaliwa. Yesu alikuwa myahudi (Jews) wakamkataa na kumuua na bado wanamsubiri kuwa atarudi. Na kweli aliwahahidi atarudi baada ya kupata kibondo kikali na kukataliwa na jumuia ya kimataifa ndo Yesu waliyemsulibisha atatokea kuwaokoa
 
Katika dhehebu linastahili kufutwa ni walokole, mtu umekaa unafurahi zako mkeka umetiki anatokea mlokole anakuambia hiyo furaha unayofurahia bila kuokoka ni kazi bure.

Muda huu nipo kazini nasalimiana na mfanyakazi mwenzangu anatokea mlokole anamwambia mfanyakazi mwenzangu asichangamane na watu wa misri.
Walokole ni Kama waislamu tu ujinga ni mwingi mno na mihemko kibao
 
Hata wao wanaona yakwako ni ya kihuni tu , kwa hiyo ni mwendo wa kila mmoja kuvutia kwake.
Uislamu hauna uhuni. Uislamu ni unyenyekevu, tunamnyenyekea Mwenyezi Mungu wakati wa kuabudu na katika ibada zetu. Sisi ni tofauti na walokole ni nani aliyewafundisha kuwa nyimbo ni ibada yaani makanisa yao hayana tofauti na baa au kumbi za starehe
 
Uislamu hauna uhuni. Uislamu ni unyenyekevu, tunamnyenyekea Mwenyezi Mungu wakati wa kuabudu na katika ibada zetu. Sisi ni tofauti na walokole ni nani aliyewafundisha kuwa nyimbo ni ibada yaani makanisa yao hayana tofauti na baa au kumbi za starehe
Mkuu nyie si mna dini yenu na wao wana yao tatzo ni lipi apo.
 
Katika dhehebu linastahili kufutwa ni walokole, mtu umekaa unafurahi zako mkeka umetiki anatokea mlokole anakuambia hiyo furaha unayofurahia bila kuokoka ni kazi bure.

Muda huu nipo kazini nasalimiana na mfanyakazi mwenzangu anatokea mlokole anamwambia mfanyakazi mwenzangu asichangamane na watu wa misri.
Ukiona umeambiwa hivyo na ukakasirika basi kuna ukweli kwa ulichoambiwa..ndiyo maana umekizingatia na kuja kulalamika humu..

Ile mpaka umekuja humu na Kulalamika ina maana kuna mahali kwenye moyo wako neno uliloambiwa limepenya na kukugusa...

Isingekuwa hivyo ungepuuzia na kuendelea na mambo Mengine..

Nichukue nafasi hii kuungana na huyo mlokole kukuambia, " Hiyo furaha unayofurahia Bila kuokoka ni Bure...."
 
Ukiona umeambiwa hivyo na ukakasirika basi kuna ukweli kwa ulichoambiwa..ndiyo maana umekizingatia na kuja kulalamika humu..

Ile mpaka umekuja humu na Kulalamika ina maana kuna mahali kwenye moyo wako neno uliloambiwa limepenya na kukugusa...

Isingekuwa hivyo ungepuuzia na kuendelea na mambo Mengine..

Nichukue nafasi hii kuungana na huyo mlokole kukuambia, " Hiyo furaha unayofurahia Bila kuokoka ni Bure...."
Walokole ni mazombi kama na wewe ni mlokole hauna tofauti na zombi
 
Kuna kanisa kila siku ukisika vipaza sauti ni kuiombea israeli(sio kipindi hiki cha vita, ni miaka yoteee)
Akitoka nje huyu anayeiombea israeli ukiangalia hicho kiatuu, daaaa
Anyway Ngoja nisikufuru.
 
Na hakuna watu wanafiki km hao wanaojiita "WALOKOLE"
Umenikumbusha mtaani kulikua na dada mmoja mlokole ana ka genge. Kila ukikatiza anakuita anaanza kukupa neno, kukukanya, mambo kibao. Kimbebe ni pale kitumbo chake kilipoanza kuumuka na hajaolewa! Mbona alihama ule mtaa 😀
 
Umenikumbusha mtaani kulikua na dada mmoja mlokole ana ka genge. Kila ukikatiza anakuita anaanza kukupa neno, kukukanya, mambo kibao. Kimbebe ni pale kitumbo chake kilipoanza kuumuka na hajaolewa! Mbona alihama ule mtaa [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]MUNGU aliamuaa kumuumbua aache unafkii ,yaan n wanafki na niwachoyo haswaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kanisa kila siku ukisika vipaza sauti ni kuiombea israeli(sio kipindi hiki cha vita, ni miaka yoteee)
Akitoka nje huyu anayeiombea israeli ukiangalia hicho kiatuu, daaaa
Anyway Ngoja nisikufuru.
Sasa hapo ndiyo anapofeli, badala ya kujiombea mwenyewe apate hela akanunue viatu
 
Back
Top Bottom