Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
- #21
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana aiseeRaha ya JF hutakiwi kumjua mtu,kila kitu kiwe chini ya kapeti.
Humu unaweza hata bishana na B'Tozo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimecheka sana aiseeRaha ya JF hutakiwi kumjua mtu,kila kitu kiwe chini ya kapeti.
Humu unaweza hata bishana na B'Tozo.
Ni vile tu hadhi zao si za kuwa kwenye maisha ya namna ile. Humu ndani ni matajiri wakubwa sana. Huyo mmoja alisema anamiliki Plot la ardhi Kisarawe[emoji23][emoji23]Kwa nini aibu Mkuu?
Watu wengi humu JF siyo wakweli..Ni vile tu hadhi zao si za kuwa kwenye maisha ya namna ile. Humu ndani ni matajiri wakubwa sana. Huyo mmoja alisema anamiliki Plot la ardhi Kisarawe[emoji23][emoji23]
Ndio hao hao wapo huku ila sema wakiwa huku hawataki kujulikana kama ndio wao wa kule twitaSio tu hao, hata wana twitter. Nimewahi kukutana na akina malkia nyuki, labella mafia n.k Sana sana Mlimani City na Sinza
Kwenye vyombo vya usafiri ni rahisi sana kuzoom ID za wana wanaotumia mitandao mingine ya kijamii hasa hasa wakiwa wanacomment. Ila JF ni ngumu
Ha ha ha....[emoji1787]Nilikutana nae mmoja kwenye gari alikuwa anasoma kimasihara
Hahaaaaaa "greater thinker" wa kizazi cha dotcom huyo.• members laki 12, ni Wengi sana 🤒🤒
😄😄 10k(laki 10), 12k(laki 12), 145k(laki 145)…..kazi Kweli Kweli.Hahaaaaaa "greater thinker" wa kizazi cha dotcom huyo.
Kwamba wanajisifu ni matajiri au????Ukiingia kwenye JF Web Analysis utakutana na zaidi ya members zaidi ya laki 8, zaidi ya Post 8m na Guest 6m. Cha ajabu, huwa sifumanii mwana JF akiwa JF
Nimeishia kuona Guests wakiwa kwenye vituo vya mabasi, daladala, ndani ya daladala, kwenye maofisi yanayofanya interviews za ajira. Cha ajabu sijawahi kumuona member wa JF isipokuwa wawili tu tena maarufu humu
Mmoja alikuja kwenye duka langu la madawa baridi akiwa anahitaji frajili, kwa bahati mbaya akiwa anaelezea mvuruguko huo ndipo kuonesha kioo cha simu yake. Alikuwa kwenye uzi wa Ipi ni Sexual Fantansy yako
Mwingine nilikuwa naye kwenye mkesha. Alikuwa anareply uzi wa rikiboy kwa kuandika neno CHAI na picha la mbirika
Nyie wengine huwa mnareply-a mkiwa wapi? Mbona per second JF inapata more than 10k replies? Niambieni nijue
Dah ali kuweza😂😆Nna mpangaj wangu mmoja, baada ya msiba wa jiwe Alkua anapenda sn kunisimulia story za yoga kule Kwny Uzi wake wa darkdays, asijue Mimi pia naufuatilia sana[emoji4]
Siku nikamvizia anipe simu yake niijue I'd yake, nmefungua app yake nikakutana na GUEST.
Aisee niliumia sn[emoji4]