Hivi wana JF huwa mnaishi wapi? Mbona huwa siwaoni?

Siji kukusahau wewe mzee wa kyela siku ile stationary unapitia uzi wa kimasihara ulivyoficha simu kwa ghafra kama umefumaniwa nilijiuliza sisi wakuu tunatembea na Ngeu usoni?
 
Ndio hao hao wapo huku ila sema wakiwa huku hawataki kujulikana kama ndio wao wa kule twita
 
Nna mpangaj wangu mmoja, baada ya msiba wa jiwe Alkua anapenda sn kunisimulia story za yoga kule Kwny Uzi wake wa darkdays, asijue Mimi pia naufuatilia sana[emoji4]

Siku nikamvizia anipe simu yake niijue I'd yake, nmefungua app yake nikakutana na GUEST.

Aisee niliumia sn[emoji4]
 
Nimewahi ona watu 2 tu kwa miaka yote hii wamefungua Jf
 
Nawajua wengi na nimekutana na wengi..

Hahaha ila kwa inakoelekea Lazma niweke Privacy protector glass kabisa..
Maana Kwa.umbea huo dah πŸ˜€πŸ˜€
 
Mi naisha Denver siyo rahisi wewe kufika huku
 
Kwamba wanajisifu ni matajiri au????
 
Kuna mwamba tulikutana ibadani anasoma uzi fulani jf nikamwambia na mimi ni member

Tukakubaliana tusijuane ID zetu
 
Karibu Sana Koromije Nafahamika Mzee Koromije Hata Mtoto Wa Chekechea Ukimuuliza Anakuleta Hadi Nyumbani
 
Dah ali kuwezaπŸ˜‚πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…