Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Naona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaNaona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?
[emoji382][emoji382][emoji23][emoji23]Hapo bado hamjaingia makundi...
Yanga mna midomo nyieee...[emoji382][emoji382][emoji23][emoji23]
Hatuwazidi nyieYanga mna midomo nyieee...
Duuuuh ila kama unakuja halafu unakataaa ...ila hapana nyie mmezidi...sasa mnavyujua kupamba kitu kionekane kikuuuubwaaaaHatuwazidi nyie
Mikia yoote wakimtegemea Ahmef Ally unategemea sny miracle ?? ShameNaona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?
Tofautisha kupamba na kupayuka. Mbumbumbu wote ni wapayukaji yaani midomo yenu inapayuka sijapata Kuona[emoji23][emoji23][emoji23]Duuuuh ila kama unakuja halafu unakataaa ...ila hapana nyie mmezidi...sasa mnavyujua kupamba kitu kionekane kikuuuubwaaaa
usitutukaneTofautisha kupamba na kupayuka. Mbumbumbu wote ni wapayukaji yaani midomo yenu inapayuka sijapata Kuona[emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu nilikuwepoTena matarumbeta ya pembe za kondoo!
Kama timu Yako haijauvunja kaa kimya! Mwanaume wa kweli hashangilii "bao" la mwanaume mwingine. Utamu itaujuaje?Naona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?
Alianzaje kushadadia mambo asiyoyajua vyema?Amedy Ally atajuaje mambo ya Yeriko?
Wakati yeye madrasa?
Kule tanga? Au?Naona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?
Mambo mengine yanachekesha sanaTena matarumbeta ya pembe za kondoo!
Ni sahihi kadiri ya sheria za Fizikia.Naona wamekazana ukuta wa Yeriko ukuta wa Yeriko. Hivi wanafahamu uliangushwa kwa matarumbeta? Umbumbumbu ni mtihani mkubwa sana maishani?