Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
- Thread starter
- #21
Kama timu Yako haijauvunja kaa kimya! Mwanaume wa kweli hashangilii "bao" la mwanaume mwingine. Utamu itaujuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama timu Yako haijauvunja kaa kimya! Mwanaume wa kweli hashangilii "bao" la mwanaume mwingine. Utamu itaujuaje?
Kabisa. ni physics tu, Mungu fundi. Ila nikiona picha za ukuta kuangushwa nacheka sana. Mbumbumbu waliwaza nini?Ni sahihi kadiri ya sheria za Fizikia.
Mungu wa Yoshua ni zaidi ya super genius, alikuwa anajua concept ya natural frequency kabla ya mtu yeyote.
Unamaanisha timu ya simba kumbe? Nilikuwa sijakupata.Kabisa. ni physics tu. Ila nikiona picha za ukuta kuangushwa nacheka sana. Mbumbumbu waliwaza nini?
View attachment 2752646
Nadhani jina la mbumbu lingewafaa nyie...Tofautisha kupamba na kupayuka. Mbumbumbu wote ni wapayukaji yaani midomo yenu inapayuka sijapata Kuona[emoji23][emoji23][emoji23]
Simba tuliwaambia kuwa ukuta wa Yeriko uliangushwa kwa mavuvuzela, si kitu cha kujivunia.Nadhani jina la mbumbu lingewafaa nyie...