Hivi wanaofanya mashirika ya UN kama UNHCR, WFP hapa bongo huwa wanakatwa kodi na NSSF?

Hivi wanaofanya mashirika ya UN kama UNHCR, WFP hapa bongo huwa wanakatwa kodi na NSSF?

Payeee ni kodi ndani ya nchi, na ukifanya kazi mashirika hayo hukatwi kodi. Kwa hiyo hawakatwi Payee. Na wao wana utaratibu wao wa pension, hawawezi kusimamiwa na vikokotoo onevu kama vya Tanzania. Hivyo ni vyetu sisi, hivyo hawana mpango na NSSF
 
Hivi ukifanya kazi UN kama WFO na UNHCR hivi unakatwa Payee na NSSF?

Asante
Mfanyakazi wa Unuted Nations halipi kodi yoyte ya serikali. Lakini, ukiwa mfanyakazi wa UN unakatwa fedha nyingi kwenye mshahara wako ambayo wanaiita "Staff Assessment". Hii staff assessment inarudi UNHQ na inahesabika kama sehemu ya member state contribution to the United Nations

Kwa mfano, say kuna watanzania 100 wameajiriwa UN hapa Tanzania, kila mmoja anakatwa 200k, maana yake staff wa-Tanzania wanaichangia nchi yao 20,000,000 kila mwezi as country contribution to United Nations operations globally. Na irleweke keamba mtanzania yeyote anayefanya kazi UN, popote duniani, anakatwa hiyo fedha. Ndiyo maana staff wa UN hakatwi kodi.

Mfanyakazi wa UN anapostaafu hana kodi anayolipa kutoka kwenye mafao yake. Na hakutakuwa na "staff assessment" deduction kwenye fedha yake ya monthly pension.

Nadhani umeeliwa mkuu
 
Mfanyakazi wa Unuted Nations halipi kodi yoyte ya serikali. Lakini, ukiwa mfanyakazi wa UN unakatwa fedha nyingi kwenye mshahara wako ambayo wanaiita "Staff Assessment". Hii staff assessment inarudi UNHQ na inahesabika kama sehemu ya member state contribution to the United Nations

Kwa mfano, say kuna watanzania 100 wameajiriwa UN hapa Tanzania, kila mmoja anakatwa 200k, maana yake staff wa-Tanzania wanaichangia nchi yao 20,000,000 kila mwezi as country contribution to United Nations operations globally. Na irleweke keamba mtanzania yeyote anayefanya kazi UN, popote duniani, anakatwa hiyo fedha. Ndiyo maana staff wa UN hakatwi kodi.

Mfanyakazi wa UN anapostaafu hana kodi anayolipa kutoka kwenye mafao yake. Na hakutakuwa na "staff assessment" deduction kwenye fedha yake ya monthly pension.

Nadhani umeeliwa mkuu
So kwa mfano nafasi wanazotangaza wanasema ni NOB grade,,ambayo inaanzia million 9.3, je huyu anakatwa laki mbili basi yakuchangia UN na Hana Cha NSSF Wala Makati mengine siyo?
 
Back
Top Bottom