Nimejiuliza kwa muda mrefu bila kupata majibu.
Wacha leo nitapike hadharani na naomba leo mnipe jibu.
Utasikia tu, ana watoto kadhaa lakini katu sijawahi kumuona
mwanasiasa mwanamke akiwa mjamzito. Hebu hata
wewe chunguza halafu niambie kati ya hawa waliopo
madarakani ambao wana watoto, lini walionekana wajawazito
zaidi ya kuambiwa tu kuwa wana watoto.
Walizaa kwanza ndo wakajiunga na siasa.
Kama wewe ni mtoto wa mwisho kwenu je ulishawahi kumuona Mama yako akiwa na mimba? maana kwa swali hili linaonesha hata umri wako ni wa miaka mingapi!!......
Kifupi huna tofautu na wapuuzi wengine wanaouliza kama ulishawahi kuudhulia mazishi ya zeruzeru.
Kama wewe ni mtoto wa mwisho kwenu je ulishawahi kumuona Mama yako akiwa na mimba? maana kwa swali hili linaonesha hata umri wako ni wa miaka mingapi!!......
Kifupi huna tofautu na wapuuzi wengine wanaouliza kama ulishawahi kuudhulia mazishi ya zeruzeru.
Nimejiuliza kwa muda mrefu bila kupata majibu.
Wacha leo nitapike hadharani na naomba leo mnipe jibu.
Utasikia tu, ana watoto kadhaa lakini katu sijawahi kumuona
mwanasiasa mwanamke akiwa mjamzito. Hebu hata
wewe chunguza halafu niambie kati ya hawa waliopo
madarakani ambao wana watoto, lini walionekana wajawazito
zaidi ya kuambiwa tu kuwa wana watoto.
Kama wewe ni mtoto wa mwisho kwenu je ulishawahi kumuona Mama yako akiwa na mimba? maana kwa swali hili linaonesha hata umri wako ni wa miaka mingapi!!......
Kifupi huna tofautu na wapuuzi wengine wanaouliza kama ulishawahi kuudhulia mazishi ya zeruzeru.
Naogopa ban..........una bahati sana mkuu! Ila chunguza utagundua u do not possess the genes of the man u call him your daddy! it is most likely u belong to them because of the adoption law. Rejected individuals recovered from garbages and brought up in orphanage centers know nothing about respect for others and for them all other individuals are as cruel as their mothers!