Hivi wanaume huwa mnapata nini kwenye matiti?

Hivi wanaume huwa mnapata nini kwenye matiti?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Matiti yenyewe hata hayatoi maziwa lakini utakuta mtu anakazana kunyonya mpaka yanabadilika rangi yanakuwa mekundu mpaka unahisi maumivu hata watoto sidhani kama wananyonyaga mpaka wanawaumiza mama zao.

Hivi mnapata nini kwenye matiti ambayo hata hayatoi maziwa?

1623220969961.png

 
Back
Top Bottom