Hivi wanaume kwenye hii mikoba huwa wanaweka nini?

MorTimer

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
1,195
Reaction score
968
Eti wapenzi wenu huwa wanaweka nini...Nimeshawahi kukutana na couple moja eti mwanaume kabeba kimkoba na mwanamke kabeba pia....!! U Gentlemen unaanza kupotea sasa hapa nani atambebea mwenzie mkoba...!!

Kweli yajayo yanashangaza.
 
Zanzibar wanaume kubeba mikoba ni kawaida tu wala hatushangai sie
 
Mmh. Nimejikuta napatwa na mshangao.

Kazi ipo lakini sababu tunakoelekea watatupita sisi wanawake.

Pia niseme jibu halitapatikana sababu sidhani kama itatokea Me wa jf aseme huwa anabebaga kipochi ka hicho.
watakuwa wanaume wa snapchat
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…