Hivi wanaume kwenye hii mikoba huwa wanaweka nini?

90% ya wanaobeba begi hizi ni Mashoga. wameweka tuu Condoms humo na K.Y jelly.
Be sure of what you say with vivid proof before pointing a finger at someone, that's a huge allegations ujue maana yake katika kila wanaume 10 wenye mikoba hiyo basi 9 ni shoga na mmoja tu ndio anaweza kuwa mzima?! Mkuu hapo si sawa though nakubali kuwa most of wanaume wasio riziki wanabeba mikoba ila at least ungeweka 50% kidogo haijakaa vibaya...baadhi niliowaona sio mashoga ni wanaume rijali ila most of them hawajaishi Tanzania so kwa hapa tunashangaa ila kwa wenzetu its a normal thing especially kwa wachina ndio wanabebaaaa hadi yale ya kiunoni kama mkanda
 
Kama hapo juu naweka passport ID card miwani na coins sigara na pombe kali ndogo.
 
Mmh. Nimejikuta napatwa na mshangao. Kazi ipo lakini sababu tunakoelekea watatupita sisi wanawake.

Pia niseme jibu halitapatikana sababu sidhani kama itatokea Me wa jf aseme huwa anabebaga kapochi. Hahaaaa.
Akuna boy wa namna hiyo humu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…