nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
ngoja watoto walale,tuzime taa, hilo kitu haliingi mdomoni kwangu,usinyonye maziwa yataanguka, na bado hujamaliza tu ? huku nje -baby unataka staili gani leo,honey ngoja niilambe kwanza,shika finya popote,hamna kuzima taa,unavuliwa nguo na baadae kuvalishwa,yaani nilikumisi we acha tu utarudi lini sweety au lala tu wajameni nami nikumbatie kifua chako. Haya kazi kwako Mamaa Kigogo.
Duh! Salma unaishi Magomeni nini ? si ungepita kimya tu hahaha!MIE YANGU MACHO.. NAPITAPITA TU
we kweli kombora la Patriot kauli nzito sana hebu ifanye hafifu kidogo.Sa siunaona??huyo mama siku zote alikuwa mchafumchafu hadi alipotokewa ndo akaanza kujipiga sopsop na kuanza kupendeza kwa kuvaa vizuri na kuwa mrembo. hapo inamaana kwa mume wake anajiwekaweka tu vile keshakuwa guaranteed maisha na mumewe.Mume atamwambiaje kapendeza wakati unasema siku zote alikuwa hapendez hadi alipokuwa approached??? jitahidin dada zetu kuwa fashioned mwanzo mwisho then muone kama kutakuwa na matatizo. Sio kabla hujaolewa mara kimini, mara skin jeans mara kijikaptura then ukishaolewa kaniki na wewe, wewe na kaniki au kanga ya juu ya matiti na wewe, wewe na kanga hadi maungo uliyonayo hayaonekani tena ka bi mkora, yanafichwa na tenge lako juu ya matiti, utamkalisha nani chini hapo???
Nyumba kubwa's inabidi muelezwe ukweli huku nje wanakaba mpaka unajuta kwanini nawe sio wale wa 'bado nipo nipo tu' lol! usijali yeye ni mtu wa dinahicious.blogNgoja mkeo apitie JF kama hujaomba hifadhi ya kudumu huko kwa small; Maana umeonyesha una uzoefu.
mahaba ndo kila kitu shantel. wajua nyumba ikiwa na mapenzi mazuri tena ya kutosha hakika hakuna kitakachokosekana. nina uhakika umaskini utatoweka kabisa maana kitakachopatikana katika hangaika za kila siku kitaingia katika tundu moja na si vinginevyo.hahahahaha. mamaa kigogo pole sana inaonekana una hasira kweli na baba kigogo, sio wote wako hivo wengine wanakupa kila kitu kasoro hayo mahaba tu anakuwa hampi mkewe, hivi kati ya chakula/matunzo na mahaba ungechagua nini swali tu la kizushi
uzur sio ishu wengine wanajali uzur wao kwahyo wanakosa heshima katika ndoa, hasahasa hzi haki sawa zinawapotosha wanasahau kuwa majukumu ya mwanamke na mwanaume yanatofautiana tangu Mungu alipoumba ulimwengu.. so atimayake mwanaume anatafuta atapoheshimiwa
nadhani si kupenda kwao. wanamajukumu mengi sana mpaka wanjisahau. hebu tujaribu basi kuwapunguzia majukumu tuone kama watajisahauwanawake walio ndani ya ndoa wanajisahau sana kwa waume zao
huyo mama kigogo ni full patriotic. naomba yako yasiwe macho tu..wala usipite bali pata elimu kwanza kisha endelea na safari. hii mijadala ni muhimu kabisa maana jamii ikisha elimika, ulimwengu mzima utakua umeelimika. Asante mama kigogo na uendelee hivyo hivyo.mamaa Kigogo Leo..
mamaa Kigogo JANA....
mamaa Kigogo JUZI..
mamaa Kigogo alivyoingia janvini Juzikati ilee....
MIE YANGU MACHO.. NAPITAPITA TU
mamaa Kigogo JANA....mamaa Kigogo Leo..
mamaa Kigogo JANA....
naomba ushauri jamani nibaki single au nijitose kwenye ndoa
mamaa Kigogo JUZI..
Jamani naombeni mnielimishe na mimi niweze kumfurahisha wa ubavu wangu nirinde ndoa yangu
uuwiii mama kigogo tutakutambua leo ,tutaficha wapi sura zetu .utakuta mtu ana mke tena nzuri kweli kweli huduma kumpa mkewe ni utata lakini hata chakula cha watoto tabu lakini akiombwa huko nje na micharuko anaonesha ufundi wote wa kuhonga waki nyumba kwake matatizo kibao hivi unategemea nini na nimegundua wake za watu hawapendi kuchiti kwa asilimia kubwa wanawake wana mapenzi ya dhati ila wanakuwa forced na vituko vya waume zao ndio maana wanakuwa rahisi kupata vishawishi nje ili wapate faraja angalau .haya huwa wanasingizia wanakosa mapenzi kwa wake zao ndo maana wanatoka nje ya ndoa watoto je ?wapi mihongo tu .nao watoto wanamakosa kuwalisha shida unaenda kulisha mijanamke ambayo ukiwa hauna unachapa lapa? wale wanaume wakware jirekebisheni ingekuwa ni uwezo wangu ningewapiga vipapai wote wenye tabia hizo ambao hawajuhi majukumu yao sijuhi waliowa ili iweje jirekebisheni habari ndio hiyo .
nawakilisha
home is the best sawaaa, ila wanawake wanazidisha aisee duh!! kwanza wao kipato chao hawataki kitumike kutunza familia, zao zinaishia kwenye salon tu na mavazi ya bei mbaya eti unakuta mwanamke anaenda kusuka nywele laki 4 ila ndani hata maziwa ya watoto yakiisha hanunui anakupigia simu tu hata kama una kikao cha marafiki utasikia baba nanihiiii ukiwa unarudi nyumbani njoo na maziwa ya watoto yameisha aargh.., kuna wanawake hapa naskia wanaongelea viatu sijui CL pound 1400 ila kutoa na wao kidogo wachangie hata school fees hakuna, kwa wao jukumu loooote la kutunza familia ni la mwanaume aisee si bora mara moja moja na sisi tujipoze machungu na vya nje ya ndoa!!
ngoja watoto walale,tuzime taa, hilo kitu haliingi mdomoni kwangu,usinyonye maziwa yataanguka, na bado hujamaliza tu ? huku nje -baby unataka staili gani leo,honey ngoja niilambe kwanza,shika finya popote,hamna kuzima taa,unavuliwa nguo na baadae kuvalishwa,yaani nilikumisi we acha tu utarudi lini sweety au lala tu wajameni nami nikumbatie kifua chako. Haya kazi kwako Mamaa Kigogo.
utakuta mtu ana mke tena nzuri kweli kweli huduma kumpa mkewe ni utata lakini hata chakula cha watoto tabu lakini akiombwa huko nje na micharuko anaonesha ufundi wote wa kuhonga waki nyumba kwake matatizo kibao hivi unategemea nini na nimegundua wake za watu hawapendi kuchiti kwa asilimia kubwa wanawake wana mapenzi ya dhati ila wanakuwa forced na vituko vya waume zao ndio maana wanakuwa rahisi kupata vishawishi nje ili wapate faraja angalau .haya huwa wanasingizia wanakosa mapenzi kwa wake zao ndo maana wanatoka nje ya ndoa watoto je ?wapi mihongo tu .nao watoto wanamakosa kuwalisha shida unaenda kulisha mijanamke ambayo ukiwa hauna unachapa lapa? wale wanaume wakware jirekebisheni ingekuwa ni uwezo wangu ningewapiga vipapai wote wenye tabia hizo ambao hawajuhi majukumu yao sijuhi waliowa ili iweje jirekebisheni habari ndio hiyo .
nawakilisha
Dah! hapa greti thinka mama kigogo kaongea kwa hasira kweli!
Sasa mama anafanya kazi na mumewe pia anafanya kazi. wanafika nyumbani jioni. watoto wamerudi shule. pale nyumbani kuna kazi ya kuonsha watoto, kuandaa chakula, baba anataka aandaliwe maji bafuni, mama pia anataka kuoga, familia iandaliwe chakula mezani, nyumba ifanyiwe usafi kisha viombo vioshwe na kuutia msumari moto kwenye kidonda baba anataka haki yake ya ndoa. kazi hizi zote ni za mama wakati baba amejikalia kutazama TV. jamani huo si udhalimu? kazi ni kusaidiana.
Mama akipika baba nae aandae watoto, ajiandae mwenyewe na kisha amwandalie mama maji bafuni. mama akienda bafuni baba naye aandae chakula mezani. wakati mama anaosha vyombo baba nae anafanya usafi wa nyumba. haya ndio maoni yangu na nimekua nikipractise kwa muda sasa na wala hakuna nilichopungukiwa. heshima palepale. nikisema nasikika.
Tuwape wake zetu heshima wanzostahili na sio kuwanya kama punda. Wanaume tukifanya hivyo nawaapia hakuna siku hata moja tutatoka nje ya ndoa zetu kwa sababu muda wote tuko bize. sisemi iwe ndo kila siku ila siku ambayo hatuna commitment nje tuwahi manyumbani bana. kwanini twende baa?
Tukinunua crate moja uweke kwenye friji nyumbani tutakufa? na kama itabidi kutoka out, tukiambatana na familia zetu nani atatuuliza maswali? hii ni karne ya 21, mambo yamebadilika, tuache ushamba wa kizamani na tubadilike jinsi ulimwengu unavyobadilika.