wanaume bana ni watu waajabu sana anapopata pakupumzikia anapofuka macho hadi akili,natoa mfano huu:huyo jamaaalikuwa ananites sana anakudharau waziwazi,ananiambia hii ni list ya wanawake niliyowapenda kwa dhati anawataja kama 5mimi sipo.anakwenda kwa mwanamke anatumia simu yake kukupigia alaf anakupa umsalimie,matusi yake ni haya wewe skrepa ushachoka anatukana huyo bwana ,akawa anasema hata kama wewe ni mzuri hebu nicheki mimi sizeeki wala siambukizwi kimwi,ha! ,nikabeba kilicho changu nikapanga sehemu nikaishi peke yangu,aliposikia nimelipiwa posa alimtukana mpaka babayangu akawa kama kachnganyikiwa anaongea hili na lile anapinga ndoa kanisani kashindwa,ndoa ikafungwa na ni miaka mingi sasa mpaka leo haishiwi kutafuta hilina lile kuh mimi.ila huwa namwambia IT NOT TOO LATE TO START AFRESH.USIMUENDEKEZE MTU ILA UVUMILIVU UNAHITAJIAKA UNAPOONA UNADHALILISHWA SANA.QUITE .MTU NILIYEKUTANANAYE UKUBWANA SIMPI NAFASI SANA KUCONTROL MAISHA YANGU ALL IN ALL HAYAJUI SABABU MAISHA HAYAANZII UKUBWANI ILA HEKIMA TU INAHITAJIKA ILA WANAUME WENGINE ANAKUNYANYASA AS IF YAANI YY NDIO KAKUUMBA.our prime purpose in this world is to help others and if you cant help al least dont hurt them.