Hivi wanaume mnaosema wanawake wa JF maharage ya mbeya nyie mnatumia dawa gani?

Hahahaaa. Nahisi siku nikidate humu hata uzi sitafungua nimtaje maana kuna watu wakiona tu mwanaume fulani yuko na fulani watataka kujua kuna nini behind mpaka awe huyo mwanaume. Nitakaa kimya na kuita wengine bby kama kawaida ila bby wa ukweli ntamficha kama navyoficha vingine.
 
Aisee sio mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…