hivi wanaume ndivyo walivyo??

hivi wanaume ndivyo walivyo??

Yani kuna wanaume wengine kazi yao daily ni kuharibu reputation ya other good men!
Usitake kujitetea, wanaume ndivyo mlivyo. Kuna posti moja humu JF tulihakikishiwa na wanaume wenyewe kwamba 99.9% ya wanaume wanacheat!
 


"Washauri wameniambia eti wanaume wote ndivyo walivyo."

Ukisha shauriwa hivyo ujue huna mume hawana cha kusema. Nenda kamchungulie huko aliko hata kwa kufikia guest labda keshaoa au kesha athirika hataki kukuambukiza dada.
 
Bora uamini hivyo kujiepushia stress
Usitake kujitetea, wanaume ndivyo mlivyo. Kuna posti moja humu JF tulihakikishiwa na wanaume wenyewe kwamba 99.9% ya wanaume wanacheat!
 
Bwana eeeh we kama Mumeo peas haleti alafu mwakitombile, unajinyanyasa bureeeeee! Kuwa realistic umekaa nae miaka mingapi bila amani wala furaha? Sikushauri umuache ila nenda ofisini kalianzishe na ustawi wa jamii UBLOCK robotatu ya mshahara angalau MJIPOOZE na wanao na hizo stress! Afterall keshakufanyia mabaya yote so hakuna jipya atalofanya litakutisha!!!!!!!1

Wanaume wote ndio walivo ila wanawake tunatofautiana upeo wa grab them by the balls! Hapo ukimuachia utalipa ada zote mwenyewe, ukimaliza wakipata tu kazi wa kwanza kukinga kono lake!!!!!!!!

Ushauri wangu huwezi kumzuia mtu mzima kucheat ila Grab Him By the Balls so tightly atimize majukumu yake kama baba . hapo anagoma coz anajua huwezi kumfanya lolote, sasa wewe mwambie mara ya mwisho na umwambie akigoma unatinga Ustawi wa Jamii, na utinge kweli kweli, Robo tatu ya kimshahara hiko si haba atiii!

Times are changing sheria zina kulinda ukiendekeza upendo wa mshumaa kumulikia wenzio huku unajimaliza shaurilo!!!!!!!!

Amani ya bwana iwe nawe!
 
Pole sana dada! Kweli mambo kama hayo yapo sana katika jamii, ila nimeona mara nyingi Yesu pekee akifanyika msaada kwa wale wanaomkimbilia na kutaka msaada kwake! Kweli mimi mwenyewe nimekuwa mhubiri wa Injili ya Yesu na nimekutana na wanawake wengi waliotelekezwa na wanaume zao na wanaume kuchukuliwa na makahaba....na wakati mwingine makahaba hutumia uchawi...na huwezi kuushinda uchawi bila jina la Yesu......Kama utahitaji ushauri zaidi wa kiroho tuwasiliane
 
Usitake kujitetea, wanaume ndivyo mlivyo. Kuna posti moja humu JF tulihakikishiwa na wanaume wenyewe kwamba 99.9% ya wanaume wanacheat!

Sijitetei hata kidogo, any real man out there knows you must take care of your family, thats the priority mambo mengine baadaye!
 
Ingawa mmeo ni msiba na mbwaa usiwahukumu wanaume wote. Kama unayosema ni kweli basi mmeo ni mtu wa kuogopwa kuliko hata ukoma na ukimwi. Amelewa chupi kiasi cha kushindwa hata kujijua kama usemayo ni kweli. Kazi ni kwako kuchagua kusuka au kunyoa maana ameishatenda mengi yanayohitaji adhabu ambayo binadamu hawezi kuibuni. Kama unaona ana kuzuia kwenda kumtembelea kwanini usichukue watoto wake ukaenda kule kwa nguvu tena bila kumtaarifu ili ugundue kinachomfanya akuzuie. Uhitaji kuomba ruhusa kwenda kumuona mumeo wala watoto kwenda kumuona baba yao. Nadhani heshima na upole wako anavichukulia kama ujinga na woga kiasi cha kukuwekea masharti ya kipumbavu.Wewe naye ni mwili mmoja. Pia jitahidi uende mahakamani kutetea haki za watoto wako. Maana kama anazaa hovyo hovyo kama panya siku ya kufa utajikuta una utitiri wa watoto walio wake na wasio wake. Na kama utasema utumie kipimo cha DNA bado ni upotezaji pesa. Chukua hatua mapema. Kama utaona migongano haifai unaweza kuamua kuanza maisha yako na watoto wako na Mungu atakubarikini.
Wanaume wote SIO walivyo huyo ni MUME wako ndivyo alivo...7anasema ndoa ni UVUMILIVU ila pima ni nini UNAVUMILIA hapo hauna mume tena aisee mwishowe atakuletea magonjwa basiiii...9ha muhimu kama una uwezo wa kutafuta pesa kazana kwa ajili ya watoto wako...yAan huyo asikusumbue kichwa from now anza kuona hauna MUME,asikuumize kichwa aisee..
 
Usitake kujitetea, wanaume ndivyo mlivyo. Kuna posti moja humu JF tulihakikishiwa na wanaume wenyewe kwamba 99.9% ya wanaume wanacheat!

Hapana Binti si wanaume wote ndo walivo....hii si kweli ila wengi wao ndo walivo wanawahatibia wachache wenye sifa njema..
 
Huna mume hapo dada (pole kwa makavu ya uso, ndo dawa itakayokuponya).
1 huruhusiwi kumtembelea wewe wala watoto
2 haji tena kuwaona
3 hatoi matumizi.

Ni nini kinachowafanya muendelee kuwa mke na mume?
Hatua ya kwanza ya divorce process ni kuishirikisha familia, then viongozi wa dini. Waeleze wazazi, kuwa hamna ushirikiano wowote, sio wa kihali wala wa kimali. Na muongee kuhusu child support. Weka mguu chini haswa, atakuwa.kawekwa kwenye rambo huyo. Akisikia unataka kumuacha ataanza kukimbizana na wewe utashangaa.
Kujibu swali lako, sio wanaume wote wako hivyo. Huyo wako tu mwenye kichwa kama doughnut tu.
well said ,napenda kweli wanawake wanaojitambua kwasababu siku zote watoto wao wanakuwa kwenye mikono salama.

KHEE!
mamii cha kufia nini?
cha kufia nini mpenzi wangu!
hebu endelea na maisha yako kwanza bora kama mpo miji tofauti na anavokukataza usiende anakuepusha na mengi sana mpenzi wangu!AKUWACHE UPUMUWEE!
mume wa aina hii hapaswi kujumuisha wanaume wote kuwa wanafanana!
kimsingi baki mwenyewe lea watoto wako,wawili tuuu na una kazi!FUNGA MKANDA JIKAZE NYANYUKA PIGANIA FUTURE YA WANAO!
mume mjaa laana hvo si mume ati!
alisongeshe tu kwakweli ,ila ahakikishe anafanya maisha ya huyo jamaa living hell kwa kumbana ahudumie watoto.

Bwana eeeh we kama Mumeo peas haleti alafu mwakitombile, unajinyanyasa bureeeeee! Kuwa realistic umekaa nae miaka mingapi bila amani wala furaha? Sikushauri umuache ila nenda ofisini kalianzishe na ustawi wa jamii UBLOCK robotatu ya mshahara angalau MJIPOOZE na wanao na hizo stress! Afterall keshakufanyia mabaya yote so hakuna jipya atalofanya litakutisha!!!!!!!1

Wanaume wote ndio walivo ila wanawake tunatofautiana upeo wa grab them by the balls! Hapo ukimuachia utalipa ada zote mwenyewe, ukimaliza wakipata tu kazi wa kwanza kukinga kono lake!!!!!!!!

Ushauri wangu huwezi kumzuia mtu mzima kucheat ila Grab Him By the Balls so tightly atimize majukumu yake kama baba . hapo anagoma coz anajua huwezi kumfanya lolote, sasa wewe mwambie mara ya mwisho na umwambie akigoma unatinga Ustawi wa Jamii, na utinge kweli kweli, Robo tatu ya kimshahara hiko si haba atiii!

Times are changing sheria zina kulinda ukiendekeza upendo wa mshumaa kumulikia wenzio huku unajimaliza shaurilo!!!!!!!!

Amani ya bwana iwe nawe!
hivi sheria siku hizi inasema robo tatu ya mshahara?

USHARI WA BURE KWA WADADA.
Ukiona mwanaume kabla hata hajaoa amezaazaa ovyoovyo mara nyingi huyo ni mjinga gubegube, piga chini.
mbona wapo wengi ambao hawajazaa ovyo ovyo ila wameua sana na ni magubegube wa kutupwa mjini mkuu
 
Habari zenu wana Jf. Naomba ushauri wenu great thinkers.. Mimi nimeolewa yapata miaka 9 sasa nina watoto watatu. Mume amenizidi umri kwa miaka mitano. Ana watoto wa nje ya ndoa wawili ambao aliwazaa kabla hajaoa. Miaka minne baada ya ndoa yetu mume wangu alipata kesi ya kumpa mimba mwanafunzi. Mama wa mwanafunzi huyo aliwahi kuwa mpenzi wa mume wangu kabla hajaoa. Hapo kesi ilikua kubwa balaa. Baada ya denti kujifungua mtoto DNA ikagoma kusoma. Kesi ikamuepuka. Ilibidi tuhame ule mji. Mume wangu akapata kazi mkoa mwingine tukaishi kwa muda wa mwaka mmoja. Kwasababu za kikazi ilibidi mimi nihamie mji mwingine na watoto wakaanza shule. Yapata miaka miwili sasa tangu nihamie mji huu na wanangu, mume wangu hataki kabisa niende kumtembelea japo kwa siku mbili. Watoto wakifunga shule wanamuomba kwenda kumtembelea. Anakataa katakata. Kwakweli nashindwa kumuelewa. Mwanzo alikua anakuja kututembelea na hela za matumizi anatuma. Sasa hata hela hataki kutuma. Nikimuuliza anasema hana. Nashindwa kumuelewa kwa kweli. Nimevumilia mengi sana ukiwemo usaliti wa waziwazi. Nimeshafuma mesej za mapenzi mara kibao tu. Zikiwa na majina yao halisi. Sasa naona uvumilivu unafikia kikomo. Nafikiria kudai talaka. Washauri wameniambia eti wanaume wote ndivyo walivyo. Nisaidieni ushauri jamani.
kwanza nikupe pole kwa yote hayo dada'ngu pili nikwambie sio wanaume wote wako hivyo! Angalia taratibu za ndoa za kutatua tatizo lako ikiwa kwa wadhamini na viongozi wa dini! ikishindikana zaidi uchukue hatua za juu
 
Bwana eeeh we kama Mumeo peas haleti alafu mwakitombile, unajinyanyasa bureeeeee! Kuwa realistic umekaa nae miaka mingapi bila amani wala furaha? Sikushauri umuache ila nenda ofisini kalianzishe na ustawi wa jamii UBLOCK robotatu ya mshahara angalau MJIPOOZE na wanao na hizo stress! Afterall keshakufanyia mabaya yote so hakuna jipya atalofanya litakutisha!!!!!!!1

Wanaume wote ndio walivo ila wanawake tunatofautiana upeo wa grab them by the balls! Hapo ukimuachia utalipa ada zote mwenyewe, ukimaliza wakipata tu kazi wa kwanza kukinga kono lake!!!!!!!!

Ushauri wangu huwezi kumzuia mtu mzima kucheat ila Grab Him By the Balls so tightly atimize majukumu yake kama baba . hapo anagoma coz anajua huwezi kumfanya lolote, sasa wewe mwambie mara ya mwisho na umwambie akigoma unatinga Ustawi wa Jamii, na utinge kweli kweli, Robo tatu ya kimshahara hiko si haba atiii!

Times are changing sheria zina kulinda ukiendekeza upendo wa mshumaa kumulikia wenzio huku unajimaliza shaurilo!!!!!!!!

Amani ya bwana iwe nawe!

Big up sana lara. I wish ningekua na ujasiri wa aina hii nisingenyanyasika kwa muda wote huo. Nyumba ninayoishi ni ya kwetu I mean ya ndugu wa upande wangu. Nina haki nayo zote kama yangu lakini nashindwa kumpiga marufuku kukanyaga kwangu ingawa huko kwake mie marufuku kukunyaga.
 
Am sorry to say this mmeo kapata nyumba ndogo inamdhibiti
 
Pole sana. Kaa uzungumze naye.
watakaa wapi ili hali jamaa hataki hata kutembelewa!!atumie wazee!!au la alazimishe kuenda huko maana ni kwake pia!ila aende amejiandaa na hela ya guest kabisa!
 
dada hapo ita wakubwa wa familia tu mzungumze ukilenga malezi na matumizi kwa watoto, asipobadilika mahakamani akaandikiwe utaratibu wa kila mwezi mshahara wake uje kwako direct, ye achana nae kwa muda lea wanao akijirudi mkapime kwanza
 
....we bidada huko uliko wewe hujawahi gawa..??
 
dada hapo ita wakubwa wa familia tu mzungumze ukilenga malezi na matumizi kwa watoto, asipobadilika mahakamani akaandikiwe utaratibu wa kila mwezi mshahara wake uje kwako direct, ye achana nae kwa muda lea wanao akijirudi mkapime kwanza

Asante sana mkuu. Ushauri mzuri. Nitaufanyia kazi.
 
Back
Top Bottom