Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mkuu kama una hela yako kfc utashiba tu,ukiona m2 anaandika utumbo utajua aidha hajawahi kwenda au kasimuliwa tu juujuu.Unakuta wanaume wamejazana wanakula vichips na vikuku vya KFC, hivi huwa mnashiba kweli? Au huwa mnaenda kuuza sura kwa ajili ya kupata picha za Instagram?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na mara nyingi wanabakisha ki-chips kimoja
Hahaha wanakuwa wameshakula ugali majumbani mwao wameshiba, ile ni dessert tu usije ukaiga utakufa njaa.
Siku nyingine kula nyumbani kwanza kabla hujaenda pale. Utaona tofauti kubwa, utakula taratibu na kwa starehe sana.kumbe...duh mie nilikuwaga nashangaa sana mbona nikitoka tuu getini njaa inabana tena.
Siku nyingine kula nyumbani kwanza kabla hujaenda pale. Utaona tofauti kubwa, utakula taratibu na kwa starehe sana.
Ni pale fire makutano ya barabara ya msimbazi,morogoro road na swahili street na nyingne upanga kule umenipata?Kfc ni wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana aiseeena mara nyingi wanabakisha ki-chips kimoja