Hivi wanawake hamna stail nyingine ya kucheza mziki bila kutikisa makalio yenu na kuinama inama ?

Kamatia chini wapi wewe.
taarabu laiiiiini au mziki wa bendi. Kamatia chini nguvu nyingi zinatumika.
 
Hayo ndo na nyie mnapenda kuangalia tunatingisha hayo hayo yenye followers.
 
mkuu umetisha mambo ya go low {ashikwa sehemu mbayaaaaa}
 
Tukianza kubreak dance na kukata mapanga si mtashangaa sasa!!!
 
Kwa tunes kama hizi lazima kutingisha makalio, by the way hata nyie wanaume cheza yenu inakuwaga hivo hivo. Mpaka hapo tutakapo badili tune labda na kwenda ki hip hop.

 
churaaaaa anaruka churaaaaa chura huyoooooooooooo........
 
Ukiona wanayatikisa wewe ondoka tuache sisi tunaopenda yakitikisika tuyaangalie.
 
Style ya kuchezaee watu wapo kzini oohoooo we utabaki kuwaza style kwanza ulikuwa wapi na ww mpk ukwaona maaan nishaanza kukustukia
 
Nguvu ya MAMBA ipo MKIANI...NA DERA bila MKIA ni sawa na KANZU... mkuu...Kwahyo kutikisa mkia ndy SILAHA YAO...kwetu sisi MIDUME..
 
ndo mana mimba azikatikii maana siyo kwa viuno kukatikaaa ukoooooo
 
Kwa tunes kama hizi lazima kutingisha makalio, by the way hata nyie wanaume cheza yenu inakuwaga hivo hivo. Mpaka hapo tutakapo badili tune labda na kwenda ki hip hop.

Hivi albam yenye wimbo huo inaitwaje? kuna wimbo mmoja koffi akiwa na mtoto mkali sana ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…