Hivi wanawake huwa mna kasoro gani hata mliokwenda shuleni

Hivi wanawake huwa mna kasoro gani hata mliokwenda shuleni

Ndio ukute huyo mdada ni bosi wake, au wanajadili bonge la mradi ambao bwana wako anawasilisha na kuupigia debe akijaribu canvassing na tayari alikua amefaulu kumshawshi huyo dada ambaye ndiye afisa manunuzi.....hehehe
Hakuna kitu
 
Hakuna kitu

Kivipi labda, ukimkuta mumeo amekaa anaongea na mdada wasalimie wote na kama vipi mbusu mumeo kama ni suala tu la kutaka kulinda himaya yako, lakini usirudie hilo kosa la kumnyanyua mdada wa watu haujajuoa kipi wanaongea kuhusu.
 
Kivipi labda, ukimkuta mumeo amekaa anaongea na mdada wasalimie wote na kama vipi mbusu mumeo kama ni suala tu la kutaka kulinda himaya yako, lakini usirudie hilo kosa la kumnyanyua mdada wa watu haujajuoa kipi wanaongea kuhusu.
Ninamfaham
Ningekuwa simfahamu labda
 
Hizi picha tatu zinaelezeza taarifa yote...

main-qimg-1f9161afa16deb0906740f61c36de712



main-qimg-12063db8ba81dfc31dc460108da181d1


main-qimg-e75df86dd6bbb0e53288a58157a9d80d
That's an in-born instinct!
 
Back
Top Bottom