Hakuna kituNdio ukute huyo mdada ni bosi wake, au wanajadili bonge la mradi ambao bwana wako anawasilisha na kuupigia debe akijaribu canvassing na tayari alikua amefaulu kumshawshi huyo dada ambaye ndiye afisa manunuzi.....hehehe
Hakuna kitu
NinamfahamKivipi labda, ukimkuta mumeo amekaa anaongea na mdada wasalimie wote na kama vipi mbusu mumeo kama ni suala tu la kutaka kulinda himaya yako, lakini usirudie hilo kosa la kumnyanyua mdada wa watu haujajuoa kipi wanaongea kuhusu.
That's an in-born instinct!Hizi picha tatu zinaelezeza taarifa yote...
Still single? I wanna mingleNinao wivu kama wa huyo mama
Unanitesa kabisa
Nkiwa single hivi narelax
HahaaStill single? I wanna mingle
na inaisha sasa. Are you occupied yet?Acha tuone 2021
No hahahana inaisha sasa. Are you occupied yet?
Hebu tangulia conference room, nakuja na documents flani tujadiliane namna ya kuwekana ndani😎😎No hahaha