Hivi wanawake mnajisikiaje kwamba siku moja wazazi wako watakubadilisha na bidhaa?

Hivi wanawake mnajisikiaje kwamba siku moja wazazi wako watakubadilisha na bidhaa?

Ngoja waje wajibu wenyewe

Ila ilibidi kwanza ijulikane maana hasa ya mahari, lengo la mahari, asili yake na mengineyo.

Watu wanaenda kinyume na mafundisho juu ya mahari hapo ndio tatizo hili linakuja wazazi kifanya mabinti zao kama sehemu ya kupata chochote kitu

Tulienda sehemu kupeleka mahari, tuliyoyakuta ni km komoa eti mama mtu anadai milion 7 kisa kasomesha, sijui mazagazaga gani na km fidia ya jamaa yangu kumzalisha mtoto wao, sasa mimi nikashangaa huyu mzazi mwanae anamuuza au anamuweka bondi!!?
Ikabidi nimueleze ukweli yule mama hiko ni kiwango kikubwa na anafanya km anamkomoa akisema alipwe kisa kasomesha kwahyo jamaa ndio anakuwa kanunua elimu ya binti, anakuwa kamchukua kimoja, yeye mzazi anakuwa hana nafasi tena, jibu ni la hasha!! Basi kikubwa hapa ni kuwaombea dua hawa vijana wakaishi vyema waje kukutunza na wewe mzazi.
Inasikitisha sana mkuu....lkn cha ajabu kuna wanawake wanakuja wanasema et ni utaratibu na wameridhika nao
 
Ndio maana kimsingi inatakiwa mahari aseme mwenyewe bint. Kwenye Quran imeandikwa....na muwape zawadi zao.....ndio hii ndio mahari hasa. Yaani aseme mwenyewe kuwa anataka nini ili umuoe.

Wazazi wanabadilisha tu utaratibu hawatakiwi hata kugusa hiyo mahari ya mtoto wao. Labda akipenda mwenyewe kuwapa.
 
Ndio maana kimsingi inatakiwa mahari aseme mwenyewe bint. Kwenye Quran imeandikwa....na muwape zawadi zao.....ndio hii ndio mahari hasa. Yaani aseme mwenyewe kuwa anataka nini ili umuoe.

Wazazi wanabadilisha tu utaratibu hawatakiwi hata kugusa hiyo mahari ya mtoto wao. Labda akipenda mwenyewe kuwapa.
Afadhar iwe hvo kama hicho kitabu kinavosema....at least heshima ya mwanamke na ukubwa wa tukio wa mwanamke kuacha wazazi wake na kuambatana na mumewe utaonekana
 
Inasikitisha sana mkuu....lkn cha ajabu kuna wanawake wanakuja wanasema et ni utaratibu na wameridhika nao
Huu utaratibu upo kweli ni wa kidini lakini sheria hazisemi mahari kuwa anapewa mzazi, mahari ni zawadi kwa muolewaji na mke/muolewaji ndio atakaetamka.
 
Ni ndani ya mada sababu kuna watanzania wenye tamaduni za kihindi. Kuna wasichana na wanawake pia kwenye hilo kundi
Kwa issue ipo sawa kwa pande zote mbili bs nao wanaingia kwnye kundi hili pia......still ni kautaratibu kabovu
 
Nimekupenda buureee safi sana nakupa heshima shikamoo
sasa mjinga hapo nani aliyetoa ng'ombe kununua Mali ya wengi au aliyenunuliwa? unatoa ng'ombe sawa, lakini kwanza unakuta hana bikira na marinda hayamo, pili akikuchoka anachepuka, tatu ukifa anarithi Mali zako zote, nne anaweza beba mimba ya mtu mwingine ukalea, tano ni wajibu wako kumlisha na kumvisha lakini mnakula wengi, sita anaweza kukuletea ugonjwa Wa moyo, saba waulize wamachame........
Usijione mjanja wewe ndiye unaeliwa hapo sio wao! Unavyo mwaga shaha.... kwa mwanamke maanake una mmwagia hadi utajiri wako! Usiwadharau wanawake, wanawake ni taifa kubwa, akiamua kukupoteza ni dakika tu.
 
Back
Top Bottom