Hivi wanawake wana akili ya mapenzi kweli?

kuna baadhi ya wanawake wanamapungufu ktk masuala ya mapenzi na baadhi ya wanaume pia wanamapungufu,kama kikaragosi.
 
[h=2]Hivi wanawake wana akili ya mapenzi kweli?[/h]Hivi wanaume hawajui kusema hapana kweli !

MTAKULA NA VISIVYOLIKA.. Pole kwako, kwa huyo kicheche, wifi yake, na anaetia huruma zaidi ni huyo rafiki yako..
 
jamani, sasa wewe na yeye tofauti yenu nini hapo?yaani unathubutu kusema 'wanawake wana akili ya mapenzi kweli' vipi wewe? una akili ya mapenzi kweli?nakuhakikishia wewe na yeye lenu moja, usimnyooshee kidole mana vile vingine vinakuwa vimekuelekea wewe vikisema the same words "NIMEAMINI WANAUME NI DHAIFU SANA" Kumbuka hayo mapenzi hakufanya na mti kafanya na wewe....toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndio utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzio.Huyo dada naamini hakukushikia bastola ulijirahisi kwake. Sawa mwanakwetu?!
 


mie nadhani wewe na yeye wote akili zenu zinafanana. Yeye kakupa na wewe umepokea
 
Hivi wanawake wana akili ya mapenzi kweli?

Hivi wanaume hawajui kusema hapana kweli !

MTAKULA NA VISIVYOLIKA.. Pole kwako, kwa huyo kicheche, wifi yake, na anaetia huruma zaidi ni huyo rafiki yako..

amenistaajabisha huyo rafiki yake aliposema wanafichiana siri
 
kuna tofauti kubwa kati ya DEMU na mwanamke! naamini unazungumzia demu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…