Hivi wanawake wanatamani tamani kama wanaume?

Vipi kuna mwanadada ameonesha kukupenda? Chunguza kwanza asije kua anadaiwa Vikoba
 
Tuna vitu vyetu unique tofauti na tamaa za ngono. Eg smartness, maneno gani anatamka? Care, of cause na ka uwezo kidogo tunakaangalia, narudia tena ka uwezo kidogo, ofcause age matters eg at my age vitu vidogo vidogo najitafutia sasa iweje nimpende mwanaume ambae hawezi nisaidia hata nikiwa na shida? Imebidi niongelee ka uwezo coz nisiposema bas ni urafiki.
 
Umeamua uwe muwazi hongera sana
 
Tunawatamani sana tuu kwani hatuna mioyo?
Sema sasa tunaweza kataa katakata kuwa hatuwafeel.
 
Tunawatamani sana tuu kwani hatuna mioyo?
Sema sasa tunaweza kataa katakata kuwa hatuwafeel.
How common it is, mfano mwanaune akitoka kimara kwenda kariakoo mpaka akirudi kimara anaweza kua kashawavua nguo akilini wanawake zaidi ya watano, how is you?
 
Duh hivi navyovisoma leo ni vipya kabisa [emoji114] nilijuaga mnatamani urefu, gari na pesa tu
 
kwanza sisi ndo tuliwafundisha michezo yoote! tukikua tunaacha
 

Umepiga mle mle
 
sifanyi ujinga ntakwangalia sana tu katika namna ambayo wewe hutajua kama nimekuangalia,
 

Hatari sana, hujakosea inatokea sana nikimla demu anatarajia eti ntampigia sana simu, sms kwa sana, wakati sinaga huo muda, nikimaliza ndio basi, mambo ya kutafutana kwenye simu kuwe na sababu bila hivo, mimi sio mzazi wake. genye ndio zitamtafuta
 
Bludfaken.....vyote sina...kama ni uhalisia wa wanawake wanavyopenda, huyu niliyenaye ananivumilia.....namalizia,tena sana.
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Wavumilivu tupo mkuu.
Ila kutamani kupo pale pale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…