Prince Nadheem
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 1,259
- 1,056
Habari za jumapili tulivu na nzuri kama hii wanajamii? natumai wote mko safi na mnaendelea vizuri na mapumziko yenu ya leo.
leo mi nimekuja na jambo naomba kupata experience na maoni yenu juu ya hili naloenda kuliwasilisha jamvini.
Tangu nimesnza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake hadi nafikia maamuzi ya kufunga ndoa kuna tabia moja nimekuwa nikikutana nayo constantly kwa wanawake takribani watatu ambao nimekuwa nao katika mahusiano ya serious. Naomba msininukuu vibaya jamani mimi ni miongoni mwa wale watu ambao napenda mahusiano ya kudumu na naheshimu sana hisia za watu hasa katika mahusiano ya kimapenzi.ngoja nitoe angalau profile fupi kwa kila mmoja ili twende pamoja.
msichana wa kwanza kuanza nae uhusiano ilikuwa ni form 5 nikiwa Mbeya,huyu alikuwa ni binti wa kichaga,alikuwa hapendi kabisa hata nikae discussion na wasichana wengine pale shuleni na ilikuwa hata akiona nimesimama tu na binti mwingine huo moto utakaowashwa bwenini huo usiku bweni zima watajua na muda mwingi alikuwa bize kupopularize uhusiano kiasi kwamba shule nzima kuanzia walinzi hadi headmaster walikuwa wanajua kuwa we are lovers.kutokana na sababu fulani mwaka wa kwanza chuo kikuu tuliachana.
Msichana wa pili ilikuwa ni wa mwaka wa kwanza pale chuoni yeye alikuwa mngoni na ilikuwa mwaka wa kwanza second semista ambae nilidumu nae hadi mwaka wa tatu na miezi tano tangu kuhitimu masomo nae vile vile tuliachana kwa sababu fulani.tukirudi katika tabia naen alikuwa hapendi kabisa mimi kuwa karibu na wasichana napia alikuwa anapenda muda wangu mwingi niwe natumia na yeye tu kiasi kwamba nilikuwa nakosa hata muda wa kuwa na jamaa zangu wa karibu na hata nikwa bize na computer kwa kazi za chuo au binfasi malalamiko yalikuwa hayaishi kuwa simjali,niktoka kwenda club na jamaa zangu ndio kabisaa kesi nzito yaani full malalamiko.
huyu wa sasa mnyamwezi nae hana tofauti na hao wa juu na ni mwaka wa tatu tangu niingie nae kwa uhusiano na sasa tangu nijiunge na JF akiwepo tu uhuru wote wa kuingia JF unapotea maana malalamiko hayaishi,nikienda kwa jamaa zangu hataki maana nae kamaliza chuo kikuu wiki 2 zilizopita na sasa naishi nae,nikitaka hata kwenda kwa jamaa zangu somewhere around here Ukonga anaanza kulalamika,wakija wafanyakazi wenzangu hapa home nikiwasindikiza tu kwa umbali fulani ni tatizo.
samahani kwa uzi mrefu ila ni katika kuwa muwazi zaidi juu ya hili,so mwisho kabisa nabaki na swali kuwa kwa nini wanawake wengi wako so much possessive?au na wanaume wengine wako hivyo?kama wako hivyo mi kuna kitu nakosea kupenda uhuru namna hiyo? wanawake kwanini baadhi yao hawajiamni?nifanyeje ili kuendana na hali? natanguliza shukurani kwa michango yenu
leo mi nimekuja na jambo naomba kupata experience na maoni yenu juu ya hili naloenda kuliwasilisha jamvini.
Tangu nimesnza kuwa na mahusiano ya kimapenzi na wanawake hadi nafikia maamuzi ya kufunga ndoa kuna tabia moja nimekuwa nikikutana nayo constantly kwa wanawake takribani watatu ambao nimekuwa nao katika mahusiano ya serious. Naomba msininukuu vibaya jamani mimi ni miongoni mwa wale watu ambao napenda mahusiano ya kudumu na naheshimu sana hisia za watu hasa katika mahusiano ya kimapenzi.ngoja nitoe angalau profile fupi kwa kila mmoja ili twende pamoja.
msichana wa kwanza kuanza nae uhusiano ilikuwa ni form 5 nikiwa Mbeya,huyu alikuwa ni binti wa kichaga,alikuwa hapendi kabisa hata nikae discussion na wasichana wengine pale shuleni na ilikuwa hata akiona nimesimama tu na binti mwingine huo moto utakaowashwa bwenini huo usiku bweni zima watajua na muda mwingi alikuwa bize kupopularize uhusiano kiasi kwamba shule nzima kuanzia walinzi hadi headmaster walikuwa wanajua kuwa we are lovers.kutokana na sababu fulani mwaka wa kwanza chuo kikuu tuliachana.
Msichana wa pili ilikuwa ni wa mwaka wa kwanza pale chuoni yeye alikuwa mngoni na ilikuwa mwaka wa kwanza second semista ambae nilidumu nae hadi mwaka wa tatu na miezi tano tangu kuhitimu masomo nae vile vile tuliachana kwa sababu fulani.tukirudi katika tabia naen alikuwa hapendi kabisa mimi kuwa karibu na wasichana napia alikuwa anapenda muda wangu mwingi niwe natumia na yeye tu kiasi kwamba nilikuwa nakosa hata muda wa kuwa na jamaa zangu wa karibu na hata nikwa bize na computer kwa kazi za chuo au binfasi malalamiko yalikuwa hayaishi kuwa simjali,niktoka kwenda club na jamaa zangu ndio kabisaa kesi nzito yaani full malalamiko.
huyu wa sasa mnyamwezi nae hana tofauti na hao wa juu na ni mwaka wa tatu tangu niingie nae kwa uhusiano na sasa tangu nijiunge na JF akiwepo tu uhuru wote wa kuingia JF unapotea maana malalamiko hayaishi,nikienda kwa jamaa zangu hataki maana nae kamaliza chuo kikuu wiki 2 zilizopita na sasa naishi nae,nikitaka hata kwenda kwa jamaa zangu somewhere around here Ukonga anaanza kulalamika,wakija wafanyakazi wenzangu hapa home nikiwasindikiza tu kwa umbali fulani ni tatizo.
samahani kwa uzi mrefu ila ni katika kuwa muwazi zaidi juu ya hili,so mwisho kabisa nabaki na swali kuwa kwa nini wanawake wengi wako so much possessive?au na wanaume wengine wako hivyo?kama wako hivyo mi kuna kitu nakosea kupenda uhuru namna hiyo? wanawake kwanini baadhi yao hawajiamni?nifanyeje ili kuendana na hali? natanguliza shukurani kwa michango yenu