February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
Bahamas!
Kwasisi binadamu hapa duniani, chanzo cha kuteseka na maumivu yote tutamlaumu babu yetu Adam ambaye alikosea kula apple kule bustanini.
Sasa kwa wanyama, wao kosa lao ni nini?
Kwanini swala aliwe na chui?
Kwanini Nyumbu aliwe na Simba?
Kwanini Pundamilia wakose majani?
Kwanini Kuku wachinjwe na binadamu?
Makosa yao hasa ni nini?
Kwanini wateseke hapa duniani?
Kwanini Mungu aliwaumba waje wateseke?
Is god all merciful and Loving?
Kwa binadamu kuteseka, watu huwa wanasema, ni kipimo hapa duniani na Mungu akatupa free will ili tushinde majaribu ya hapa duniani na kwenda kula neema zote mbinguni.
Wanyama wataenda mbinguni?
Wanyama wana free will kwamba na wao wana mitihani hapa duniani?
Wanyama walimfanya nini Mungu?
Kwasisi binadamu hapa duniani, chanzo cha kuteseka na maumivu yote tutamlaumu babu yetu Adam ambaye alikosea kula apple kule bustanini.
Sasa kwa wanyama, wao kosa lao ni nini?
Kwanini swala aliwe na chui?
Kwanini Nyumbu aliwe na Simba?
Kwanini Pundamilia wakose majani?
Kwanini Kuku wachinjwe na binadamu?
Makosa yao hasa ni nini?
Kwanini wateseke hapa duniani?
Kwanini Mungu aliwaumba waje wateseke?
Is god all merciful and Loving?
Kwa binadamu kuteseka, watu huwa wanasema, ni kipimo hapa duniani na Mungu akatupa free will ili tushinde majaribu ya hapa duniani na kwenda kula neema zote mbinguni.
Wanyama wataenda mbinguni?
Wanyama wana free will kwamba na wao wana mitihani hapa duniani?
Wanyama walimfanya nini Mungu?