Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Tatizo DSTV hawaweki vipindi vingi vya kuchochea dini ya Hakhi, hata swala tano hawajawahi kusisitizaSalam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Channel ya Kikafiri