Tatizo DSTV hawaweki vipindi vingi vya kuchochea dini ya Hakhi, hata swala tano hawajawahi kusisitizaSalam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Arise and shine ya Mwamposa imo, Emanuel Tv imo, Tumaini imo, Upendo imo,Udini...
If you mean Channel za Music, yes zipoHii kanali wanaiuza 150,000 Decoder yake.ina miziiki hio canal?
Chochea... 🇰😁Tatizo DSTV hawaweki vipindi vingi vya kuchochea dini ya Hakhi, hata swala tano hawajawahi kusisitiza
Channel ya Kikafiri
Channel ya kipuuzi. Wabongo hawawekezi katika kazi zao, wanaamini katika kubahatisha."Sinema Zetu,,Ama Kwa Hakika ni Za Kwetu"
Naungana na weweArise and shine ya Mwamposa imo, Emanuel Tv imo, Tumaini imo, Upendo imo,
Sidhani kama ni sahihi kuwashutumu kwa udini.
Na tangu aondoke Tido Mhando hata vile vipindi vinavyoandaliwa nao au vinavyoandaliwa kwa usimamizi wao vimekuwa vya ovyo sana.Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.
Hakuna kitu mule zaidi ya mpira wa ulaya,hicho kifurushi cha 50,labda vifurushi vya juu vina movie nzuriDStv yuko miles nyingi mno mbele ya Azam
Tamthilia azam hulipa 3m kwa episode, DStv 4-7m, movie azam akitoa sana 2m,sasa unajiuliza imeandaliwa kwa kiasi gani na producer kapata nini!?..movie haziwezi kukua hivyo,ndiyo content creators wanafungua youtube channel tuChannel ya kipuuzi. Wabongo hawawekezi katika kazi zao, wanaamini katika kubahatisha.
Filamu zinazooneshwa humu ni za kiwango cha chini ambazo mtu timamu hawezi kupoteza muda kutazama.
Kama kweli wana lengo la kunyanyua tasnia, wawekeze pesa kweli kama ilivyo kwenye mpira.
Movie 3 Nayo ipo vizuri,wanalipia Dstv laki na kuendelea watakua wanafaidi.Tamthilia azam hulipa 3m kwa episode, DStv 4-7m, movie azam akitoa sana 2m,sasa unajiuliza imeandaliwa kwa kiasi gani na producer kapata nini!?..movie haziwezi kukua hivyo,ndiyo content creators wanafungua youtube channel tu
Canal+, package ya kingeleza, ipo. Ukiafford bei.. kupata kiingeleza,unalipia mara mbili package uliyochagua. Lakini,mfano wa DSTV, wangapi wanaelewa kile kingeleza? Kwa nini watu wawe wavivu wa kifaransa?Canal + ndo kila kitu. Mchawi kifaransa tu
Kila kisimbuzi kina changamoto zake, huyu ana hiki mwingine hana.Salam.Juzi nililipia azam kucheki ligi.ilipoisha sioni cha kuangalia ikarudi nilipie dstv angalau content zimeshiba
Azam movie zao za Mbc sio HD,Picha zao sio nzuri,huo ndio ukweli.
Sitangazi biashara ila azam jirekebusheni na Dstv punguzeni bei na msiondoe channel kila wakati.