MTOTELA
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 159
- 196
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu. Siku moja nilikuwa gheto na manzi yangu sasa wakati wa malovedavi manzi yangu akajakushtuka kuwa kuna mtu dirishani anatuchungulia tukiwa tunafanya mapenzi. Mimi pia nilikuja kumuona huyo jamaa siku nyingine akituchungulia sasa nikaja kujiuliza hivi huyu jamaa anajisikia raha gani kuchungulia wenzie wakifanya mapenzi sijupata jibu. Leo nimeona bora niwaulize wana JF hawa jamaa wanapataga raha gàni na kama yupo mwanaJF mpiga çhabo atuambie anapata raha gani