Hivi wapiga chabo huwa mnasikiaga raha gani kuchungulia wenzeni wakiwa faragha?

Hivi wapiga chabo huwa mnasikiaga raha gani kuchungulia wenzeni wakiwa faragha?

Inasikitisha sana...

Chabo ni kilevi kama vilevi vingine... chabo ni addiction, inayopumbaza ubongo wa mtu na kamwe hawezi acha...

Chabo huambatana na masterbation au punyeto...

Kuna local chabo, zile kwenye madirisha ya watu, na kuna advanced chabo zile za kwenye ma-casino...



Cc: mahondaw
Kumbe kuna local na advance
 
Huo ni ugonjwa wa akili usione wanasikia raha, tayari akili zao zimeshaathirika ndiyo maana wapo namna ile. Mtafute mtaalamu yeyote yule wa masuala ya ugonjwa wa akili atakueleza, juu ya tatizo hilo.

Si raha ile, ni ugonjwa wa akili ule
Kwa hiyo unatibika
 
Tafiti kutoka Twashindwa zinasema,mpiga chabo anafaidi sana kuliko mpiga shoo!
 
Inasikitisha sana...

Chabo ni kilevi kama vilevi vingine... chabo ni addiction, inayopumbaza ubongo wa mtu na kamwe hawezi acha...

Chabo huambatana na masterbation au punyeto...

Kuna local chabo, zile kwenye madirisha ya watu, na kuna advanced chabo zile za kwenye ma-casino...



Cc: mahondaw

kweli kabisa love they do hamasisha
 
Kupiga chabo moja kwa moja ni kama kuchek porn kwa 3D clear hd
 
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo juu. Siku moja nilikuwa gheto na manzi yangu sasa wakati wa malovedavi manzi yangu akajakushtuka kuwa kuna mtu dirishani anatuchungulia tukiwa tunafanya mapenzi. Mimi pia nilikuja kumuona huyo jamaa siku nyingine akituchungulia sasa nikaja kujiuliza hivi huyu jamaa anajisikia raha gani kuchungulia wenzie wakifanya mapenzi sijupata jibu. Leo nimeona bora niwaulize wana JF hawa jamaa wanapataga raha gàni na kama yupo mwanaJF mpiga çhabo atuambie anapata raha gani
Ni matatizo ya akili tu
Huwezi ijua hiyo raha unless uwe na wewe dishi la azam kwenye mvua
 
Kupiga chabo ni ulevi kama ulevi mwingine. miji ya Tanga, Zanzibar na baadhi ya maeneo ya Dar ilikubuhu kilevi hicho. Dar hasa Kariakoo, Temeke, Buguruni, kinondoni moscow na tandika, michezo hiyo ilikuwa na memba kama klabu furani. Kwamba kuliandaliwa chumba maalum ambacho memba akiopoa wanachama hupewa mwaliko wa chabo. Eneo la Temeke wapiga chabo maarufu walikuwa wanawake. Mjini Zanzibar shughuri hiyo ilifanywa na mume na mke, nyakati za usiku hutembea na spoku ya baiskeri au uchelewa, kutoka nyumba hadi nyumba, wakitafuta penye windo. Yaani mkuu natamani hata nitunge kitabu kuhusu ulevi huo. Chabo haijali umri wala jinsia. mara nyingine watu walienda gest kwa malipo ili wakapige chabo. Baadhi ya gest jijini Dar zilitengeneza mazingira rafiki kwa wapiga chab. Ni ulevi tena siyo kidogo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Kupiga chabo ni ulevi kama ulevi mwingine. miji ya Tanga, Zanzibar na baadhi ya maeneo ya Dar ilikubuhu kilevi hicho. Dar hasa Kariakoo, Temeke, Buguruni, kinondoni moscow na tandika, michezo hiyo ilikuwa na memba kama klabu furani. Kwamba kuliandaliwa chumba maalum ambacho memba akiopoa wanachama hupewa mwaliko wa chabo. Eneo la Temeke wapiga chabo maarufu walikuwa wanawake. Mjini Zanzibar shughuri hiyo ilifanywa na mume na mke, nyakati za usiku hutembea na spoku ya baiskeri au uchelewa, kutoka nyumba hadi nyumba, wakitafuta penye windo. Yaani mkuu natamani hata nitunge kitabu kuhusu ulevi huo. Chabo haijali umri wala jinsia. mara nyingine watu walienda gest kwa malipo ili wakapige chabo. Baadhi ya gest jijini Dar zilitengeneza mazingira rafiki kwa wapiga chab. Ni ulevi tena siyo kidogo[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Hiyo balaa mkuu hebu andika hiyo story then unitag
 
Back
Top Bottom