kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,275
- 3,316
Nazungumzia hawa wapiga debe wa stand zilizo busy kama hii ya Magufuli. Hawa jamaa usiku na mchana wapo tu hapo stand,huwa wanapata muda wa kulala kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani, kuna kiumbe asiyelala? Na ukijua itakuwasidia au kuwasaidia nin mwanangu? Kwani, mambo muhimu ya kuhoji yameisha au umeishiwa?Nazungumzia hawa wapiga debe wa stand zilizo busy kama hii ya Magufuli. Hawa jamaa usiku na mchana wapo tu hapo stand,huwa wanapata muda wa kulala kweli?
Tunalala kwenye magari muda wowote tukibanwa na usingizi.Nazungumzia hawa wapiga debe wa stand zilizo busy kama hii ya Magufuli. Hawa jamaa usiku na mchana wapo tu hapo stand,huwa wanapata muda wa kulala kweli?
Muda ambao wewe haupo ndio wanalala ukienda wana amka!Nazungumzia hawa wapiga debe wa stand zilizo busy kama hii ya Magufuli. Hawa jamaa usiku na mchana wapo tu hapo stand,huwa wanapata muda wa kulala kweli?
Kabisa afisa usafirishaji mwenzangu.Hapa ni mwendo mdundo,usingizi tumewaachia ngedere.Tutalala kaburini
Vipi xmas afsa usafirishaji wa kinyanamboKabisa afisa usafirishaji mwenzangu.Hapa ni mwendo mdundo,usingizi tumewaachia ngedere.
Nitakula sikukuu kuanziaVipi xmas afsa usafirishaji wa kinyanambo
Kuna mwizi na.mpiga debe hawa ni wawili tofauti, kwa maelezo hapo juu wewe ni mwizi na si mpiga debe na ndio mnaochafua kazi za wenzenu, mmejificha kwenye upiga debe mbaya SanaHatulali
Tupo bize ukijisahau tunakuibia