Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Ni kama Tume ya Taifa ya Uchaguzi imesahau kuwa Kuna wapiga kura wapya wanaotakiwa kuandikishwa.
Wapiga kura wapya wataandikishwa lini au hakuna haja ya wao kuandikishwa!!?
Wapiga kura wapya wataandikishwa lini au hakuna haja ya wao kuandikishwa!!?