Nguruka Senior Member Joined Dec 6, 2006 Posts 189 Reaction score 129 Apr 4, 2024 #21 Nadhani bado wapo ndani muda kisheria na kama inavyofahamika Uchaguzi ni mchakato. Vuta subira wakati ukifika tutaambiwa.
Nadhani bado wapo ndani muda kisheria na kama inavyofahamika Uchaguzi ni mchakato. Vuta subira wakati ukifika tutaambiwa.
hillongajonas JF-Expert Member Joined Oct 13, 2021 Posts 201 Reaction score 441 Apr 4, 2024 #22 Gagnija said: Mwaka huu hakuna uchaguzi? Click to expand... Mwaka huu uchaguzi upo wa serikali za mitaa
Gagnija said: Mwaka huu hakuna uchaguzi? Click to expand... Mwaka huu uchaguzi upo wa serikali za mitaa
chiembe JF-Expert Member Joined May 16, 2015 Posts 16,859 Reaction score 28,112 Apr 4, 2024 #23 Moisemusajiografii said: Kwamba,utampigia kura hadi roho yako itakasike? Click to expand... Naam
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Joined Feb 4, 2015 Posts 19,687 Reaction score 23,689 Apr 4, 2024 #24 imhotep said: Kuna haja kweli ya kuwaandikisha wakati kura zao mnaziiba. Na kwasasa karibia kila Mtu ana NIDA hakuna tena ku bother kwenda kutafuta Kitambulisho cha Mpiga Kura. Click to expand... Kuna vijana miaka kumi na nane.
imhotep said: Kuna haja kweli ya kuwaandikisha wakati kura zao mnaziiba. Na kwasasa karibia kila Mtu ana NIDA hakuna tena ku bother kwenda kutafuta Kitambulisho cha Mpiga Kura. Click to expand... Kuna vijana miaka kumi na nane.
Allen Kilewella JF-Expert Member Joined Sep 30, 2011 Posts 21,470 Reaction score 40,593 Apr 4, 2024 Thread starter #25 Lucas Mwashambwa said: Kabla ya kuuliza swali hilo ungetumia akili yako kidogo sanaa tu kuangalia miaka mingine huwa uandikishaji unaanza mwezi wa ngapi? Click to expand... Huna ulijualo wewe. Kuuhisha daftari ni Kila baada ya miaka miwili na nusu.
Lucas Mwashambwa said: Kabla ya kuuliza swali hilo ungetumia akili yako kidogo sanaa tu kuangalia miaka mingine huwa uandikishaji unaanza mwezi wa ngapi? Click to expand... Huna ulijualo wewe. Kuuhisha daftari ni Kila baada ya miaka miwili na nusu.