Umeona eeeh! Hata mimi nimesikia wivu japo nimeziba masikio [emoji23]Kumbe wenye kutaka urafiki tupo wengi.
Ngoja atukubalie maana siyo kwa sifa hizo hadi mimi naona wivu japo nimefunga macho.
😂😂😂 shit!Watu tunalia uongo hadi kitandani[emoji39][emoji39][emoji39][emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].kama hujui utajiona fundi.
[emoji23][emoji23][emoji23]bhaeleze bhaelewe
😊😊 amekuambiaje...sema hpa naye tumpime..watu tuna microscope😏At least nimepata msema kweli mmoja.
[emoji2317][emoji2317][emoji2317][emoji2317][emoji23][emoji23][emoji23]bhaeleze bhaelewe
Afu tunambiwa ninyi ni ubavu wetu eti.Watu tunalia uongo hadi kitandani[emoji39][emoji39][emoji39][emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].kama hujui utajiona fundi.
Uyu apa ananiambi hamjui hata nnataka nini eti.[emoji4][emoji4] amekuambiaje...sema hpa naye tumpime..watu tuna microscope[emoji57]
Uyu apa ananiambi hamjui hata nnataka nini eti.
Afu tunambiwa ninyi ni ubavu wetu eti.
Alhamis leoooo[emoji30][emoji30][emoji30]fyekelea mbali stress[emoji4][emoji4]
Haya. If you say soKumbe rafiki anapita hapa mkuu.
Ila sijamkashifu mkuu soma vizuri.
Lipi hilo???dodo ilo [emoji23][emoji23]
Daaamn hakuna tena tuimbe na kucheza twist[emoji79][emoji79]Ubavu uliishia kwa adamu na hawa mzee baba. Sisi wengine n sperm za wazazi wetu.
HahahaahahahahaahhaOuwh! Ndio maana wakawapendelea wakasema tuishi nanyi kwa akili ee[emoji848][emoji848]
But chief why don't you put her through bwana... Au kuibia njia kwa rafiki ruksa? [emoji847][emoji847]Haya. If you say so
Na Mimi ntaomba nipewe shule hapa maana hatwishi kujifunza mzee baba[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Bado najifunza tu.
Hii sio kweli mkuu na unajua hii sio kweliSawa mkuu. Tatizo wivu unanisumbua.
Mimi na wenzangu kwenye huu uzi (siwataji) wivu unatusumbua[emoji38][emoji38] . Ngoja nikatafute dawa.
[emoji85]Ndo kusema hutaki au?Hahahaha
Acha masihara wewe