Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,380
- 31,566
Vipi tena jamani?[emoji23]Ooohoooo! Yaani unakuwa sio rafiki wa kweli mapema yote hii??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tena jamani?[emoji23]Ooohoooo! Yaani unakuwa sio rafiki wa kweli mapema yote hii??
Si bora kwapa watu wananuka kutuzi shogaangu" balaa halafu humu wanajikuta ma"dakitari"....woiiiiisi umeona mshikaj kasema tunanuka kwapa😤
Hahahaha mkuu inaonekana unawajulia vizuri sana hawa akina Hawa.
Akikukubalia unishue ili nami nimwombe urafiki[emoji23]Basi niunganishe na mimi niwe rafiki yako.
Au rafiki ni mmoja tuu mkuu?
wivu tu[emoji4][emoji4].kwan kina Hawa wote magumashi[emoji58] huoni mtoa mada anaendelea kumsifu humu daily..[emoji23]labdq ww hujabahatika tu my dear..mimi mwenyew nimepata rafiki humu tunatembeleana tunapika pamoja tunaalikana.. wapo bwana!
Humu wema wengiiiSimtishi..huo ndio ukweli hakuna sehemu yenye wema ikakosa ubaya,.
Heeee!!!! Manengelo my friend imekuwaje tenaaaaa???yaan kwel tupu..alafu wamepaukaaaaaàaaaaaaaaaaaa..wanajiashua tu humu... wauz nyanya tu hao...
Akikukubalia unishue ili nami nimwombe urafiki[emoji23]
Wakike?
Aaahhh mshkaji pengine kashavuta mmea pendwaaasi umeona mshikaj kasema tunanuka kwapa😤
Heeee!!!! Manengelo my friend imekuwaje tenaaaaa???
😂😂👊Aaahhh mshkaji pengine kashavuta mmea pendwaaa
Kashfa hii! Mwenyewe anaona unavyomkashifBasi niunganishe na mimi niwe rafiki yako.
Au rafiki ni mmoja tuu mkuu?
Mkuu sisi hatutabiriki. Utaona tunacheka kumbe tunalia.. Hawezi tujulia[emoji39][emoji39]
Kashfa hii! Mwenyewe anaona unavyomkashif
Yule mshkaji wa Jana akiona hii unadhani atajiskiaje??Vipi tena jamani?[emoji23]
Mmmhhh hebu ngoja kwanzaSi bora kwapa watu wananuka kutuzi shogaangu" balaa halafu humu wanajikuta ma"dakitari"....woiiiii
Huyo asikushughulishe. Hataki urafiki na mimiAkikukubalia unishue ili nami nimwombe urafiki[emoji23]
Hahahahaahahaha. Acha basi kashfaKumbe wenye kutaka urafiki tupo wengi.
Ngoja atukubalie maana siyo kwa sifa hizo hadi mimi naona wivu japo nimefunga macho.