Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
- Thread starter
- #481
Komaaaa utapata mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Komaaaa utapata mzee
Haya ngoja tuoneKomaaaa utapata mzee
Hongera mkuu kwa kupata rafiki mwemaMbona unamtisha mwenzio wakati tangu Jana tayar anampima rafikie mpya
He he mbona sura mbovu na kunuka kwapayaan kwel tupu..alafu wamepaukaaaaaàaaaaaaaaaaaa..wanajiashua tu humu... wauz nyanya tu hao...
Wakikutanaga na mmoja tunaingizwa wotesi umeona mshikaj kasema tunanuka kwapa[emoji36]
Nimekumiss babe wangu,..weekend hii wapi nna kiu jomonii na hili jotroooAbeeeh babe
DooohNimekumiss babe wangu,..weekend hii wapi nna kiu jomonii na hili jotrooo
Kumbe mimi sio rafiki yako?Watu mna bahati zenu, mimi mbona sijawahi kupata rafiki humu?[emoji848]
Hongera kwa kujipatia rafiki mwema
Hivi bado hujarudi tuu huko Bangkok babe?!Doooh
Sipo mama labda next week
Bangkok ya Tandale kwa Konki Master?Hivi bado hujarudi tuu huko Bangkok babe?!
Babu nini lakiniii😂Bangkok ya Tandale kwa Konki Master?
[emoji23][emoji23][emoji23] Hukuwahi kunambia kuwa u rafiki yangu. Nilijua u .... angu![emoji6]Kumbe mimi sio rafiki yako?
Unanikana mbele ya watu??[emoji23][emoji23][emoji23] Hukuwahi kunambia kuwa u rafiki yangu. Nilijua u .... angu![emoji6]
Tangu ubadili dini umenitenga sana. Sijui nimwachie Mungu?Babu nini lakiniii😂
Sijakukana ila nachojua wewe ni zaidi ya rafiki, yaani kwenye ngazi ya urafiki haupo tena ushapitiliza[emoji6]Unanikana mbele ya watu??
Hahahhaha fwala wewe bangkok ya nyokweHivi bado hujarudi tuu huko Bangkok babe?!
Anhaaa... sasa kama ni hivyo kwanini unachuna kujibu PMs zangu?Sijakukana ila nachojua wewe ni zaidi ya rafiki, yaani kwenye ngazi ya urafiki haupo tena ushapitiliza[emoji6]
Shikamoo babuTangu ubadili dini umenitenga sana. Sijui nimwachie Mungu?
Marahaba mpenzi. Nimekumisi kule jukwaa la wakubwa. Imekuwaje?Shikamoo babu