FENtastic
JF-Expert Member
- Aug 4, 2015
- 6,780
- 10,548
Hawa viumbe chief siyo... Ndio maana Bella analia nao kila siku[emoji3][emoji3]Hahahaahahahahaahha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa viumbe chief siyo... Ndio maana Bella analia nao kila siku[emoji3][emoji3]Hahahaahahahahaahha
Hahahahaahahahahaahahah! Hii nimeipendaNdiyo mkuu. Ukiona tunalia usitubembeleze pengine ndiyo tunacheka.
Kwa kweli ukijitia mjuaji mbeleni mauti[emoji42]Na Mimi ntaomba nipewe shule hapa maana hatwishi kujifunza mzee baba
Sitaki kuamini, nkianza kuwataja wema hapa list haitokwisha bestah wapi..sitaki kuamini best..mwema ni huyo rafiki yako humu wengi mangulubembe tu ..wamwchoka hakuna anayewataka..wamepaukaaaa wananuka yolanda tu
Hayo maneno yako yalivyo makaliNinii...
Kwa hiyo anachomaanisha dark angel nikifanyie kazi??😂😂na tunavyojua kufake😂😂😂😂👊👊👊!lazima ukae😊😊
👊👊👊👊👊👊👊👊Safe and sound chief[emoji1477]
Mitego ipi tena jamani[emoji134]Hahahaha Mkuu
Una mitego Sana, binti
Exactly. It's crazy manDaaaamn very confusing and controversial[emoji378]
Mmmhhhhh utanifanya ni log out sasa hiviSisi ndiyo sisi wengine mafisi.
Una bahati dda zetu wameamua kuwaweka ya nafsini hadharani chief...Kwa hiyo anachomaanisha dark angel nikifanyie kazi??
I will wait my father Christmas's role[emoji3][emoji3]Exactly. It's crazy man
Mitego ipi tena jamani[emoji134]
Au nitume barua rasmi ya maombi kupitia kwa mods[emoji848]
Duh! But I know my friend is neither a pretender nor a liarWatu tunalia uongo hadi kitandani[emoji39][emoji39][emoji39][emoji38][emoji38][emoji38][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13].kama hujui utajiona fundi.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂bhaeleze bhaelewe
Nimekwambia usimshughulikie darkUmeona eeeh! Hata mimi nimesikia wivu japo nimeziba masikio [emoji23]
Itafika kipindi itabidi tuelewe tuBataelewa taratibu
Unaamini hiyo broo??Afu tunambiwa ninyi ni ubavu wetu eti.
Kwani hujapita hiyo stage bado??Ubavu uliishia kwa adamu na hawa mzee baba. Sisi wengine n sperm za wazazi wetu.