John,Yes, watiririshe mzee
Haters are the reasons you prosper.Hater mkubwa.
Wanalipwa mshaharaWanalipwa below 1m?
Acha kuwasema vibaya viongozi wastaafu utafungiwamhii si kweli, hawa ni majambawazi
Shida tuliyonayo watanzania wengi. tunayoyadhihirisha kwa watu sio tunayoyaishi. ni utani tu.Ukiweza kusave hiyo 65% ya mshahara, basi familia yako itakuwa inajisaidia povu. Kwa mishahara hii ya laki 8? Save that amount, and you will end up spending it in hospital because of malnutrition.
Watu wanabet mpaka wanaudhi,ubunifu umekuwa kukodoa na mikeka tuuUnanifanya nicheke huku nimeziba mdomo, manake watu wasije ona huyu jamaa kachizika nini!!, mkuu hapo siunaweza weka bondi hadi mke, kwani wewe unabeti?